CCM kwachafuka, safu mpya yaleta kizungumkuti

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Huku mwezi wa sita ukikaribia kwa kazi,mwezi wa kumkabidhi Uenyekiti wa CCM Rais John P. Magufuli,safu mpya ya uongozi wa CCM imeanza kuleta kizungumkuti chamani. Vigogo wa chama na makada wakongwe wameanza kupigana vikumbo vya tambo ili wachomoze katika safu mpya.

Makundi mbalimbali,sawia na yale ya wakati wa uchaguzi mkuu,yamechomoza upya huku kila kundi likitaka kupenyeza mtu wake kwenye safu mpya. Baada ya Mwenyekiti mpya wa kitaifa kupatikana,watateuliwa na kuchaguliwa viongozi wapya wa CCM wakiwemo Makamu wa Mwenyekiti wa Tanzania Bara na Zanzibar; Katibu Mkuu,Naibu Katibu Mkuu,Wajumbe wa Kamati Kuu na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

Kumekucha ndani ya CCM. Mtumbua majipu anakaribia kutwaa chama,vikumbo kwa maslahi gani?

Mzee Tupatupa wa 'Ulevini' Lumumba,Dar es Salaam
 
Mto mada umetoa mada kinafki nafki nenda kwa shigongo akakuajiri.
Umeweka headng kubwaaa kumbe ndani upuuuzi mtupu
Shame on u
 
Kama ccm wako safi na wana safu nzuri ya uongozi kwa nini waweweseke? Sijui nani msafi nani mchafu ndani ccm ambae ataendana na Kasi ya Jpm.

Let's wait and see,hili game haliitaj hasira wala papara,nyumba ya jirani yafuka moshi mweusi.
 
Huku mwezi wa sita ukikaribia kwa kazi,mwezi wa kumkabidhi Uenyekiti wa CCM Rais John P. Magufuli,safu mpya ya uongozi wa CCM imeanza kuleta kizungumkuti chamani. Vigogo wa chama na makada wakongwe wameanza kupigana vikumbo vya tambo ili wachomoze katika safu mpya.

Makundi mbalimbali,sawia na yale ya wakati wa uchaguzi mkuu,yamechomoza upya huku kila kundi likitaka kupenyeza mtu wake kwenye safu mpya. Baada ya Mwenyekiti mpya wa kitaifa kupatikana,watateuliwa na kuchaguliwa viongozi wapya wa CCM wakiwemo Makamu wa Mwenyekiti wa Tanzania Bara na Zanzibar; Katibu Mkuu,Naibu Katibu Mkuu,Wajumbe wa Kamati Kuu na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

Kumekucha ndani ya CCM. Mtumbua majipu anakaribia kutwaa chama,vikumbo kwa maslahi gani?

Mzee Tupatupa wa 'Ulevini' Lumumba,Dar es Salaam

Mkuu VUTA-NKUVUTE huko Lumumba kunani? Mbona unakuita "ulevini" siku hizi?
 
Huku mwezi wa sita ukikaribia kwa kazi,mwezi wa kumkabidhi Uenyekiti wa CCM Rais John P. Magufuli,safu mpya ya uongozi wa CCM imeanza kuleta kizungumkuti chamani. Vigogo wa chama na makada wakongwe wameanza kupigana vikumbo vya tambo ili wachomoze katika safu mpya.

Makundi mbalimbali,sawia na yale ya wakati wa uchaguzi mkuu,yamechomoza upya huku kila kundi likitaka kupenyeza mtu wake kwenye safu mpya. Baada ya Mwenyekiti mpya wa kitaifa kupatikana,watateuliwa na kuchaguliwa viongozi wapya wa CCM wakiwemo Makamu wa Mwenyekiti wa Tanzania Bara na Zanzibar; Katibu Mkuu,Naibu Katibu Mkuu,Wajumbe wa Kamati Kuu na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

Kumekucha ndani ya CCM. Mtumbua majipu anakaribia kutwaa chama,vikumbo kwa maslahi gani?

Mzee Tupatupa wa 'Ulevini' Lumumba,Dar es Salaam
I was shocked at everything! Ya know what I'm saying? I wasn't more shocked at him leaving CCM .

I was more shocked at him. Sumaye is a strong dude... I know him... You know what I'm sayin?...Real strong... so it was when he left CCM I was more like "again". You know what I'm sayin?
 
Mzee Tupatupa,acha tu wanyukane.Mnyukano huo ndio utamsaidia mtumbua majipu kufumua vichaka na king'oa magugu.
 
Back
Top Bottom