Kila uchaguzi mkuu unapofanyika CCM wanashinda majimbo mengi zaidi kuliko kanda zingine.Katika uchaguzi wa mwaka huu mmewagalagaza wapinzani wenu vibaya sana.Kwa nini CCM inapendwa sana nyanda za kusini ingawa tunajua maisha ya wakazi hao ni ya kimasikini sana ungilinganisha na sehemu zingine.Huduma za jamii ni shida kabisa lkn bado imani yenu iko CCM.Nini siri ya CCM kukubalika huko?