CCM kwa hili wanachama wa CCM hamjawatendea HAKI.

CCM kwa hili wanachama wa CCM hamjawatendea HAKI.

rfa

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
105
Reaction score
38
Habari wana jf, leo kwenye taarifa ya habari ITV saa 2 usku. katibu wa ccm taifa kinana ametangaza DODOMA kuwa wamekusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya kutoka kwa wanachama million mbili na akaendelea kusema kwamba maon hayo hayajawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani. pindi anatangaza nilikuwa nimekaa na katibu kata wa ccm pia na yeye amekili kuwa hajawahi kuchangia maoni ya katiba mpya.SWALI NI KWAMBA Maoni hayo yalikusanywa lini? maeneo gani? na mikoa gani?. hii ni kwa sababu wengi wamekataa kuwa gawajawahikuchangia maoni ya rasmu ya katiba mpya. ndugu zangu tuspo kuwa care katiba itachakachuliwa na kupata katiba mbovu. sisi wote watanzania tunataka katiba ya watanzania wote na si kutoka kwa wachache. naomba kuwasilisha
 
Habari wana jf, leo kwenye taarifa ya habari ITV saa 2 usku. katibu wa ccm taifa kinana ametangaza DODOMA kuwa wamekusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya kutoka kwa wanachama million mbili na akaendelea kusema kwamba maon hayo hayajawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani. pindi anatangaza nilikuwa nimekaa na katibu kata wa ccm pia na yeye amekili kuwa hajawahi kuchangia maoni ya katiba mpya.SWALI NI KWAMBA Maoni hayo yalikusanywa lini? maeneo gani? na mikoa gani?. hii ni kwa sababu wengi wamekataa kuwa gawajawahikuchangia maoni ya rasmu ya katiba mpya. ndugu zangu tuspo kuwa care katiba itachakachuliwa na kupata katiba mbovu. sisi wote watanzania tunataka katiba ya watanzania wote na si kutoka kwa wachache. naomba kuwasilisha


Vipi suala la idadi ya tembo wetu ambao amaisha waua hajaliongelea?, enewei hachana na jangili huyu
 
Habari wana jf, leo kwenye taarifa ya habari ITV saa 2 usku. katibu wa ccm taifa kinana ametangaza DODOMA kuwa wamekusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya kutoka kwa wanachama million mbili na akaendelea kusema kwamba maon hayo hayajawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani. pindi anatangaza nilikuwa nimekaa na katibu kata wa ccm pia na yeye amekili kuwa hajawahi kuchangia maoni ya katiba mpya.SWALI NI KWAMBA Maoni hayo yalikusanywa lini? maeneo gani? na mikoa gani?. hii ni kwa sababu wengi wamekataa kuwa gawajawahikuchangia maoni ya rasmu ya katiba mpya. ndugu zangu tuspo kuwa care katiba itachakachuliwa na kupata katiba mbovu. sisi wote watanzania tunataka katiba ya watanzania wote na si kutoka kwa wachache. naomba kuwasilisha
Niliwahi kuandika kwenye post moja kwamba watanzania ni mazezeta, watu wakanikejeli, mara oooh, zezeta shemaji yako wengine wakasema zezeta mwenyewe. Sasa utajiuliza hapa. CCM ambayo haikuwahi hata kuitisha mkutano wa wanaCCM katika level ya mkoa, achilia mbali wilaya na tarafa, kata na vijiji kwa ajili ya kukusanya maoni ya katiba, imewapata wapi hao milioni mbili? Halafu watu wamo ndani ya mkutano huo, wajumbe mhimu wa chama wanakiri hawajawahi kushirikishwa, ni kwanini hawajahoji? Hivi kwanini hao wanaCCM hawakunyosha mkono na kuuliza hayo maoni yalikusanywa lini na wapi?

Ngoja niwaambie kitu, kwa hali inavyoendelea hivi sasa nchini, inaonekana CHADEMA peke yake ndiyo chama cha watanzania. Maana hicho ndicho kinachotumia ruzuku yake kwa kazi za wananchi huku CCM inayopokea mabilioni kwa matrioni ya pesa za Ruzuku ikiwa haijulikani inafanyia nini? Na zaidi ya yote, inashangaza sana kwamba vyama vingine vya siasa navyo vipo kimya katika suala hili, kama kwamba katiba inayotengenezwa hivi sasa ni ya CHADEMA.
 
Haaa nimeamini hakuna chama kinachowasemea na kuwawakilisha vema watanzania kama Chadema, ccm wamepika data na kujifungia chumbani na kujifanya wanachambua maoni ya wanachama wao! Ccm imejaa dharau, ghiliba, uwongo na hata uzandiki!
 
Cooking Chipsi Mayai (CCM), Cooking Development in Mass (CDM)
 
mimi nipo MAGU na sijaskia kikao chochote kiwe cha ndani ama cha nje kilichotoa fursa kwa wanachama kutoa maoni kuhusu rasimu zaidi ya kile kikao cha ndani cha kusomeana ule waraka uliokuwa umesambazwa na ngazi za juu kwa ajili ya wajumbe wa mabaraza ya wilaya.HUYO JANGILI AACHE HADAA,WANACCM WENYEWE HUKU WANASHANGAA HIZO DATA KAZITOA WAPI!,AMA KWELI CCM IMEKWISHA,WANADANGANYANA KTK VIKAO KWA FAIDA YA NANI?
 
Hivi ccm wanawaona watz kama mambululala wamepataje hizo takwimu na kusimamama mbele ya vyombo vya habari na kudanganya wamekusanya maoni ya wa2 mil 3 poa ccm kila ki2 kina mwanzo na mwisho wake
 
Niliwahi kuandika kwenye post moja kwamba watanzania ni mazezeta, watu wakanikejeli, mara oooh, zezeta shemaji yako wengine wakasema zezeta mwenyewe. Sasa utajiuliza hapa. CCM ambayo haikuwahi hata kuitisha mkutano wa wanaCCM katika level ya mkoa, achilia mbali wilaya na tarafa, kata na vijiji kwa ajili ya kukusanya maoni ya katiba, imewapata wapi hao milioni mbili? Halafu watu wamo ndani ya mkutano huo, wajumbe mhimu wa chama wanakiri hawajawahi kushirikishwa, ni kwanini hawajahoji? Hivi kwanini hao wanaCCM hawakunyosha mkono na kuuliza hayo maoni yalikusanywa lini na wapi?

Ngoja niwaambie kitu, kwa hali inavyoendelea hivi sasa nchini, inaonekana CHADEMA peke yake ndiyo chama cha watanzania. Maana hicho ndicho kinachotumia ruzuku yake kwa kazi za wananchi huku CCM inayopokea mabilioni kwa matrioni ya pesa za Ruzuku ikiwa haijulikani inafanyia nini? Na zaidi ya yote, inashangaza sana kwamba vyama vingine vya siasa navyo vipo kimya katika suala hili, kama kwamba katiba inayotengenezwa hivi sasa ni ya CHADEMA.


Ndo maana walikuambia zezeta mwenyewe kwa sababu bado unahangaika na identification of the problem wakati watu statement walishapata na data ndio hizo wanakusanya taratibu kudhihirisha hypothesis!!!!!

Huelewi nini katika picha hiyo ya samaki!!!!
 
Habari wana jf, leo kwenye taarifa ya habari ITV saa 2 usku. katibu wa ccm taifa kinana ametangaza DODOMA kuwa wamekusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya kutoka kwa wanachama million mbili na akaendelea kusema kwamba maon hayo hayajawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani. pindi anatangaza nilikuwa nimekaa na katibu kata wa ccm pia na yeye amekili kuwa hajawahi kuchangia maoni ya katiba mpya.SWALI NI KWAMBA Maoni hayo yalikusanywa lini? maeneo gani? na mikoa gani?. hii ni kwa sababu wengi wamekataa kuwa gawajawahikuchangia maoni ya rasmu ya katiba mpya. ndugu zangu tuspo kuwa care katiba itachakachuliwa na kupata katiba mbovu. sisi wote watanzania tunataka katiba ya watanzania wote na si kutoka kwa wachache. naomba kuwasilisha

Haya ndio mauza uza ya CCM
 
Eti HAMM-D, ritz..nasikia na nyie hamjatoa maoni yenu..ni kweli au uzushi.?
 
Tunamuomba kinana atoe orodha ya majina ya watanzania hao milioni 2 waliochangia hatima ya taifa letu akishindwa hana chake watanzania hatudanganyiki temu hii mpaka kieleke.
 
Ndugu hiyo ni point! Mimi ninaposoma malumbano FB nakuta m2 ajui lolote anaitetea ccm kwa nguvu zake zoote, maskini ya Mungu, mpaka natamani kutoa machozi mimi!
 
Niliwahi kuandika kwenye post moja kwamba watanzania ni mazezeta, watu wakanikejeli, mara oooh, zezeta shemaji yako wengine wakasema zezeta mwenyewe. Sasa utajiuliza hapa. CCM ambayo haikuwahi hata kuitisha mkutano wa wanaCCM katika level ya mkoa, achilia mbali wilaya na tarafa, kata na vijiji kwa ajili ya kukusanya maoni ya katiba, imewapata wapi hao milioni mbili? Halafu watu wamo ndani ya mkutano huo, wajumbe mhimu wa chama wanakiri hawajawahi kushirikishwa, ni kwanini hawajahoji? Hivi kwanini hao wanaCCM hawakunyosha mkono na kuuliza hayo maoni yalikusanywa lini na wapi?

Ngoja niwaambie kitu, kwa hali inavyoendelea hivi sasa nchini, inaonekana CHADEMA peke yake ndiyo chama cha watanzania. Maana hicho ndicho kinachotumia ruzuku yake kwa kazi za wananchi huku CCM inayopokea mabilioni kwa matrioni ya pesa za Ruzuku ikiwa haijulikani inafanyia nini? Na zaidi ya yote, inashangaza sana kwamba vyama vingine vya siasa navyo vipo kimya katika suala hili, kama kwamba katiba inayotengenezwa hivi sasa ni ya CHADEMA.
Na hapo ndipo ujinga wao unapoanzia.
 
Back
Top Bottom