Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
Moto wa M4C hakuna anayeweza kuuzima, hata aliyeuanzisha hawezi kuuzima tena. Mabadiliko ni ya LAZINA na kifo cha CCM HAKIEPUKIKI!
Mkuu, umesema yote niliyotaka kusema. Asante!
Moto wa M4C hakuna anayeweza kuuzima, hata aliyeuanzisha hawezi kuuzima tena. Mabadiliko ni ya LAZINA na kifo cha CCM HAKIEPUKIKI!
Pesa mnayo sema dau lenu ni dogo na ndio sababu ya kuweza kukusanya machinga/jobless wasio hata wapiga kura . Ili mradi wajitokeze na kufanya vurugu.SIO SIRI KILA MTU ANAOGOPA KUFA, Lkn Dogo wa jana alikuwa ni machinga tu na kaonewa yule, 4ur information Chadema ela za kumwaga watazitoa wapi? iyo ni tabia yenu CCM MAFISADI, umeona jana watu wale NYOMI wamejilipia daladala na C kama CCM LZM MAFUSO PIA MABASI YAWEPO KANDO NA POSHO ZA KUWALIPA KWA KUUDHURIA MIKUTANO LZM WAPEWE,
CCM imechaguliwa na 70% ya watanzania. sasa hao 30% ndio watawatoa?
kwa kweli wewe ni kakakiaziKwa habari iliyopo kuwa CCM inapanga kukwamisha mpango wa CHADEMA kwa kuzuia M4C nchi nzima, baada ya kuagiza wakuu wa mikoa,RPC's wakuu wa wilaya,kuhakikisha M4C isifanye mikutano yao kama walivyokuwa wamepanga.
CCM wamekuja kushtuka baada ya mikutano iliyofanyika mkoani morogoro hasa baada yakuwa na hamasa kubwa kwa vijana kuliko ilivyokuwa ikidhaniwa hapo hawali!.
Morogoro ni Mkoa pekee CCM ilijivunia kwakuwa na wabunge wengi waliongozwa na CCM!Sasa baada yakuona vijana wamebadilika nakuwa na mwamko wa kisiasa sasa wameamua kuagiza viongozi wote wa mikoa na wilaya kupambana na M4C nchi nzima!!
Maoni yangu nikuwa CCM mtaitumbukiza hii nchi katika machafuko makubwa.
mimi nasema kwakutumia Polisi CCM mtasababisha vurugu kubwa kwenye hii nchi kwani Vijana watafika mahali watashindwa kuvumilia udhalimu unaofanywa na CCM!
Hakuna mtanzania alie radhi kupoteza maisha yake kwaajili ya CDM, hata viongozi wao wenyewe ni waoga wakubwa, wanahamasisha fujo halafu wao ndio wa kwanza kuruka ukuta. Tabia ya kuwapa pesa vijana wafanye fujo ndio sera ya M4C.
Arusha na igunga ndio Tanzania nzima? Halafu mbona mkikosa wa kumlaumu mnarukia Usalama wa Taifa, kama mliibiwa kura mbona vingozi wenu walijikusanya Ikulu?KAKA SOMA ALAMA ZA NYAKATI, UONI WANAOGOPA ATA KUINGIA KT CHAGUZ NDOGO? USIRELY KWA IYO 70% ILOCHAKACHULIWA NA USALAMA WA TAIFA, CCM YAKO INAOGOPA CHAGUZ WALOGWE WATIE TIMU A.TOWN AU IGUNGA AIBU KUBWA WATAIONa
kwa kweli wewe ni kakakiazi
Nani yuko tayari kufa kwaajili ya CDM? Umesahau Mzee Slaa alivyo jificha nyuma ya spika? Na umesahau Mbowe kuruka ukuta?tafadhali ... watanzania siyo wajinga .... hii pumba uliyoandika semea nafsi yako na wajinga wengine
There are two things that are infinite, the Universe and Human stupidity........i am not sure about the former.Pesa mnayo sema dau lenu ni dogo na ndio sababu ya kuweza kukusanya machinga/jobless wasio hata wapiga kura . Ili mradi wajitokeze na kufanya vurugu.
Tafsiri ndugu yangu, mi kizungu sijui.There are two things that are infinite, the Universe and Human stupidity........i am not sure about the former.
arusha na igunga ndio tanzania nzima? Halafu mbona mkikosa wa kumlaumu mnarukia usalama wa taifa, kama mliibiwa kura mbona vingozi wenu walijikusanya ikulu?
There are two things that are infinite, the Universe and Human stupidity........i am not sure about the former.
Nani yuko tayari kufa kwaajili ya CDM? Umesahau Mzee Slaa alivyo jificha nyuma ya spika? Na umesahau Mbowe kuruka ukuta?
na kushanga wewe majebere uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana eti unasema "Hakuna mtanzania alie radhi kupoteza maisha yake kwaajili ya CDM, hata viongozi wao wenyewe ni waoga wakubwa, wanahamasisha fujo halafu wao ndio wa kwanza kuruka ukuta. Tabia ya kuwapa pesa vijana wafanye fujo ndio sera ya M4C". nani anaanzisha fujo kama sio hao polisi wa darasa la saba ambao wanatumiwa na magamba tunaanda case moja kwa moja kwa ocampo ndio utaona ujinga wanaofanya utawafikisha wapi.
kwani watu wakiachiwa kueleza kitu wanachokitaka kuna shida gani kwa nini hao polisi ccm hawendi kupambana na majambazi yenye silaha wanakuja kupambana na watu wanotembea kwa miguu au kwanini ccm wanapofanya mikutano yao au maandamano hakuna hata siku moja jeshi la polisi limeawazuia nyie siku zenu zinahesabika subirini tu na tunahasira sana na ujinga wenu ourtime will com when you guys will be wiping just wait three years is not so long
Chama hakihusiki na machafuko haya. Haya ni matumizi mabaya ya vyombo vya dola. Tusiingize mambo ya siasa katika utendaji. kitu ambacho kesho tutajutia. Tusifanye ushabiki katika siasa, kwa faida ya utulivu tulionao.
CCM imechaguliwa na 70% ya watanzania. sasa hao 30% ndio watawatoa?