CCM kuzidisha muda wa kampeni, NEC waitupia mpira Polisi

CCM kuzidisha muda wa kampeni, NEC waitupia mpira Polisi

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,380
Reaction score
139,288
Sarakasi zinaendelea.

Tume ya uchaguzi NEC imenukuliwa ikiwatupia mpira jeshi la polisi kuwa ndilo linalohusika kuhakikisha kampeni hazizidi saa 12.

Tume imeruka kimanga baada ya kupokea hoja kutoka kwa wadau kuwa juzi CCM wakati wakizindua kampeni Jangwani walizidisha mda zaidi ya nusa saa kinyume na taratibu
 
Tunapowaambia NEC ni kitengo cha ccm mnakataa. Utamkemeaje babako?
 
Ngoja ukawa wazidishe halafu watoe tamko.
 
Ukawa lazima wawe makini sana na tume ya uchaguzi.
 
Tunapowaambia NEC ni kitengo cha ccm mnakataa. Utamkemeaje babako? Angalia mkapa alivotukana hadharani juzi, umesikia nec wamesema chochote angalau kwa kujibaraguza?
 
NEC sio huru kabisa. Ni sawa na Refa ambaye naye anachezea timu mojawapo zinazoshindana huku akipuliza filimbi.
 
nini saa 12:40, Wazidishe Hadi Saa 2 Usiku, HAPA KURA HAWAPATI, KURA ZOTE KWA LOWASA. HATUTAKI TENA AHADI ZAO HATA ASHUKE MALAIKA AJE AWAOMBEE MSAMAHA, WAMETUNYANYASA VYA KUTOSHA. Kufuli Tutavunja Na Pombe Tutamwaga,ni Octoba 25.
 
nini saa 12:40, Wazidishe Hadi Saa 2 Usiku, HAPA KURA HAWAPATI, KURA ZOTE KWA LOWASA. HATUTAKI TENA AHADI ZAO HATA ASHUKE MALAIKA AJE AWAOMBEE MSAMAHA, WAMETUNYANYASA VYA KUTOSHA. Kufuli Tutavunja Na Pombe Tutamwaga,ni Octoba 25.

Na sio kutunyanyasa imefika mahali wameamua kututukana hadharan bila kificho.
 
Hapo lazima tutoke sawa hata sisi UKAWA ni mpaka saa12:30 tunayo mengi sana yakuwaambia watanzania na sio kuwatukana.

kaka ni kweli sisi hatuta mtusi mtu, bali tutawapa watanzania mbinu mbadala ya kutuoa hapa tulipo,

lakini vile vile ni kazima tuonyeshe njia, ili watu waone tofauti yetu na chama chakavu, kwamba sisi sio wavunja sheria, bali tunaheshimu utawala wa sheria,
 
Jumamosi ukawa ufanye mkutano mpaka saa 12:40 kama walivyofanya wao
 
Tatzo badala ya kutoa sera wanawabadilisha wasaniii mara yamoto bend mara diamond daaah na mkutano wenyewe umeanza saa9.wanatumia janja ya muda ili ionekane wanasera nyingi,ila watanzania washawaelewa sasa tutaonana oct25
 
NEC na polis wote ni walewale baba yao ni ccm. tunahitaji kufanya mabadiliko ya kwweli ili kuondoa ukiritimba huu
 
Lubuva watu watamgawa na hatatosha.. awe makini sana..
 
Hivi Mzee Mkapa alitukana au alieleza sifa ya viongozi wa Ukawa? Fafanua bila kutumia tusi!!

mzee Mkapa ametukana watu wote wanaounga mkono siasa za mageuzi.
sisi hatumjibu kwa matusi kwakuwa hata siku moja mshindi huwa hatukani.
 
Back
Top Bottom