CCM kutoka magamba hadi mizigo

Sigam

Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
81
Reaction score
27
Nimeshangazwa na mdogo wangu Nape kuja na msamiati mpya wa 'Mawaziri mzigo' baada ya ule wa Magamba.
Wajemeni Magamba na mizigo naona ni kitu hicho hicho. Hivyo kabla ya mizigo alipaswa kutueleza magamba yameishia wapi? Kama walishindwa kuvua magamba mizigo ndio wataiweza? Vinginevyo inatupasa tuamini kuwa CCM yenyewe ndio GAMBA na MZIGO hapa TZ. aidha tujiulize baada ya magamba na mizigo, watakuja na msamiati gani mwingine? Nazani watasema kuna viongozi MIZOGA!
 
Ni utamaduni wao na wanatekeleza sera yao ya ulaghai na udanganyifu kupitia misamiati

Kilimo ni uhai, mkukuta, mkurabita, kilimo kwanza, matokea makubwa, magamba nasasa mizigo sijui ccm wanaelekea wapi...?
 

Angalia yalivyo makabila
 
Last edited by a moderator:
Poor ccm! Poor Nape! Baada ya M/kiti wake kusema kwamba wajiandae kuachia dola, atimae ameibuka na single ya mizigo!
 
ccm= chama cha mizigo.teh teh hii kali ya kufungia mwaka huu 2013 na kuanza nao 2014
 
Ndugu yangu QUOTE lakuvunda halina ubani
 
Ninachowaza ni kwa vipi tutautua huu mzigo!
 
Kiukweli ccm yenyewe ndio mzigo kwa Taifa,tushirikiane kwa pamoja tuutue mzigo huu salama kwani waonekana unaganda kama kupe na unataka kufa na taifa.
 
walianza na kujivua gamba wakachemsha sasa wametuletea singo ya mizigo hakika ccm ni mzigo
 
mizigo alimaanisha punda wabeba unga, sembe. a.k.a madawa
 
Teh teh,nchi hii bwana, mara magamba, mizigo, mkurabita,sijui nin...
 
watashindwa kuiondoa hiyo mizigo kwa kuhofia kama kile kilichotokea huko sudan Kusin
 
Ccm chali,hawana sera tena kila siku wanashindwa kuchukua maamuzi magumu kwa sera yao ya kubebana,tunawasubiri 2015 tuone watakuja na usanii upi, chadema hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
CCM wanaendeleza ulaghai na usanii hakuna cha mizigo wala nini,

Kama walishindwa kuwaondoa madiwani wa Kagera wataweza mawaziri?
 
mambo ambayo ccm wameifanyia nchi hii yanatisha kuliko yale ambayo MWOVU SHETANI ameifanyia dunia yote !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…