Acheni uvivu wa kufikiri na siasa za chini ya vitanda, magufuli ameongea Kama rafiki wa raila na hajaongea kwa niaba ya CCM au serikali , mnalikuza jambo hili kwa maslahi ya ovyo ovyo tu, gazeti la raia mwema siku hizi nalo linaandika udaku tu.Magufuli na raila ni marafiki hata nje ya uwaziri wao Ana haki Kama raia yeyote kummunga mkono raila kwa uwazi bila kificho Kama alivyofanya.
Nashangaa Huyu wenje ambaye hata mwanza wamemchoka anakurupuka kutoa matamko yasiokuwa na msingi, acheni watu wafanye siasa za maana sio kuongea usikike kuwa wewe ni msemaji au wa waziri kivuli wa mambo ya Nje.
Kama ni suala la urafiki angemtembelea nyumbani kwake na sio kwenye mkutano wa hadhara. Tusichanganye urafiki na dhamana tulizopewa.