CCM kumecha!!

CCM kumecha!!

msnajo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
3,066
Reaction score
1,142
Wakuu naomba kuwasilisha. Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa ndani ya chama Tawala, hususani katiba yao. Kimsingi sina haja ya kupinga haya mabadiliko, laa kujua lengo la haya mabadiliko. Ni kwa ajili ya kundi fulani la watu ndani ya chama au kwa mustakabali mzima wa Chama? Sijaelewa vizuri hili swala, manake kuna baadhi ya wajumbe tunaambiwa watang'olewa kwenye ujumbe wa NEC ya CCM kutokana na kua na kazi mbili za kudumu yaani ubunge na ujumbe wa NEC. Wakati huo huo wapo wengine watabaki wajumbe wa NEC na vile vile ni wabunge. Hapa hii imekaaje Wadau? Is this the beginning of the end? Kwa yeyote mwenye uelewa wa hili swala, tafadhali naomba tueleweshane.
 
Wakuu naomba kuwasilisha. Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa ndani ya chama Tawala, hususani katiba yao. Kimsingi sina haja ya kupinga haya mabadiliko, laa kujua lengo la haya mabadiliko. Ni kwa ajili ya kundi fulani la watu ndani ya chama au kwa mustakabali mzima wa Chama? Sijaelewa vizuri hili swala, manake kuna baadhi ya wajumbe tunaambiwa watang'olewa kwenye ujumbe wa NEC ya CCM kutokana na kua na kazi mbili za kudumu yaani ubunge na ujumbe wa NEC. Wakati huo huo wapo wengine watabaki wajumbe wa NEC na vile vile ni wabunge. Hapa hii imekaaje Wadau? Is this the beginning of the end? Kwa yeyote mwenye uelewa wa hili swala, tafadhali naomba tueleweshane.
I think it is the end of the end.
 
CCM wapo fiti mpaka jehanamu. ofcource they are very smart
 
wanajipanga kwa ajili ya 2015 and beyond,
Kumecha ulimaanisha kumekucha ama?
 
Maiti siku zote lake kaburi akitaka kukwepa amtafute mamba ammeze.

Ccm tulioianzisha sii hii wala haikuwa hivi.

Wazazi tumeshakabidhi mochware.
 
Lengo la haya mabadiliko ni kumng'oa white hair na genge lake...na ndio maana wanataka wabunge wasiwe wajumbe wa NEC.Lakini inaonekana baadhi ya wajumbe wa kambi ya white hair wamegindua janja ya m/kiti wa chama na kambi yake,kwa hiyo waliipinga sana wakati m/kiti alipoongea na wabunge pale Dom.Mwisho wa huu mvutano m/kiti aliwahakikishia kuwa hakuna mbunge atakayeng'olewa kutoka NEC na wao wakawa na shaka may be anawazuga tu.
 
Maiti siku zote lake kaburi akitaka kukwepa amtafute mamba ammeze.

Ccm tulioianzisha sii hii wala haikuwa hivi.

Wazazi tumeshakabidhi mochware.

Yes well said na sasa ndo maandalizi ya maziko yanafanywa
 
Aisee! haieleweki kwa hiyo nashindwa kuchangia kwa sana..... hata hivyo mabadiliko siku zote huwa ni ya kuleta tija
 
Wakuu naomba kuwasilisha. Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa ndani ya chama Tawala, hususani katiba yao. Kimsingi sina haja ya kupinga haya mabadiliko, laa kujua lengo la haya mabadiliko. Ni kwa ajili ya kundi fulani la watu ndani ya chama au kwa mustakabali mzima wa Chama? Sijaelewa vizuri hili swala, manake kuna baadhi ya wajumbe tunaambiwa watang'olewa kwenye ujumbe wa NEC ya CCM kutokana na kua na kazi mbili za kudumu yaani ubunge na ujumbe wa NEC. Wakati huo huo wapo wengine watabaki wajumbe wa NEC na vile vile ni wabunge. Hapa hii imekaaje Wadau? Is this the beginning of the end? Kwa yeyote mwenye uelewa wa hili swala, tafadhali naomba tueleweshane.

Nashangaa ccm kusema Mkapa, Karume ni wazee wapumzike ila Msekwa ni kijana aendelee kuongoza. hah hah hah ha magamba bwana

 
Wakuu naomba kuwasilisha. Hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa ndani ya chama Tawala, hususani katiba yao. Kimsingi sina haja ya kupinga haya mabadiliko, laa kujua lengo la haya mabadiliko. Ni kwa ajili ya kundi fulani la watu ndani ya chama au kwa mustakabali mzima wa Chama? Sijaelewa vizuri hili swala, manake kuna baadhi ya wajumbe tunaambiwa watang'olewa kwenye ujumbe wa NEC ya CCM kutokana na kua na kazi mbili za kudumu yaani ubunge na ujumbe wa NEC. Wakati huo huo wapo wengine watabaki wajumbe wa NEC na vile vile ni wabunge. Hapa hii imekaaje Wadau? Is this the beginning of the end? Kwa yeyote mwenye uelewa wa hili swala, tafadhali naomba tueleweshane.

Tayari ushasema ya kwamba wewe ni mjumbe wa NEC na kama unavyojua humu weng ni CDM.Kwahyo wewe ndio unapaswa kutujibu sisi maswali yote yanayohusu CCM kwahiyo basi swali lako haliwezi kujibiwa hapa,labda ulipeleke MICHUZI,huku wajumbe wa NEC wapo wengi sana.
 
MTI UKITOLEWA GAMBA LAZIMA UKAUKE! Handsome na white crested maasai sijui vita yao itaishaje! au ni maigizo tu?
 
Back
Top Bottom