CCM kujitoa kwenye uchaguzi

CCM kujitoa kwenye uchaguzi

Huko waliko wanajuta sana kulikata jina la lowassa watakuwa wanajiuliza ivi tulianzaje? sometime kila mtu atakuwa anamlaumu mwenzake.
 
Kuna habari muhimu nimeipata ikiwa bado mbichi kabisa,ni kuwa CCM huenda ikajitoa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazitokuwa na mashiko na hawatoshiriki.

Sababu ambayo mleta mbichi aliisema ni kuwa kila mipango wanayopanga inakuwa haina muelekeo wa kuwaletea ule ushindi wa goli la mkono ,kila mmoja anaogopa kuja kubebeshwa msalaba ikiwa kitanuka.

Na kuepuka aibu ya kushindwa ni bora wakatafuta sababu na kumuondoa mgombea wao katika ngazi ya uraisi na zaidi utolewe uamuzi wa kujitoa kwenye Uchaguzi mkuu.

Majadiliano ni makali sana kuna wanaotaka waendelee kichwakichwa liwalo na liwe na kama ni aibu wao itakuwa sio wa mwanzo kuna nchi kibao vyama tawala vimepoteza uongozi wa nchi na kuna wanaosema ila hilo tu,kushindwa itakuwa aibu ya kuzomewa mitaani na itazidi kuwadhoofisha ni bora lisitote wajiweke pembeni hata ikibidi dakika za mwisho.

Inasema mbichi hiyo kuwa hata mgombea ambae ni Magufuli amevunjika moyo na kumfanya aonekane hana furaha kwani anajiona waziwazi ameshakosa uungwaji mkono na mguu ,kila maamuzi inakuwa ya kubishana kwa maana hakuna umoja ndani ya vikao vyao ni lazima kunatokea migongano jambo ambalo linamshawishi nae ajichanganye na wale wanaotaka CCM ijitoe katika uchaguzi huu ili kuipisha aibu inayowalenga kwenye uso ,wanasikika wakisema bora nusu shari kuliko shari kamili.

Kwa upande wangu nawashauri waepuke shari kamili ,hebu jaribuni kuivuta picha ya kushindwa kwenu ,lazima mtasafiri kila mmoja upande wake na hapo mtakubali kama ndege hairudi kinyumenyume.[/QUOTE
Uzi wako hausadikiki!! CCM haina sababu ya kujitoa kwenye uchaguzi mkuu. CCM bado ni chama dola; hata kama UKAWA watashinda Urais baada ya uchaguzi wa Oktoba 25/2015, bado CCM haitafutika; kitageuka tu na kuwa chama cha upinzani, maana ndicho chama kitakachokuwa na wabunge wa kutosha kuunda upinzani, hata kama hakitakuwa na ushindi wa kuunda serikali. Tusijipe matumaini ya kuzidi kiasi (Realistic); tuache akiba ya mambo kutokea tusivyotarajia (Optimistic).
 
Uzi wako hausadikiki!! CCM haina
sababu ya kujitoa kwenye uchaguzi
mkuu. CCM bado ni chama dola; hata
kama UKAWA watashinda Urais
baada ya uchaguzi wa Oktoba
25/2015, bado CCM haitafutika;
kitageuka tu na kuwa chama cha
upinzani, maana ndicho chama
kitakachokuwa na wabunge wa
kutosha kuunda upinzani, hata kama
hakitakuwa na ushindi wa kuunda
serikali. Tusijipe matumaini ya kuzidi
kiasi (Realistic); tuache akiba ya
mambo kutokea tusivyotarajia
(Optimistic).
 
Team Lowassa kwa propaganda imefuzu vya kutosha.!
 
Kwa anayejua kuchora tunaomba utuchoree katuni moja matata inayoonyesha mafuriko yamewafika shingoni ccm vinaonekana vichwa tu ndio vinavyoibuka kutoka kwenye dimbwi la mafuriko.
 
Kuna habari muhimu nimeipata ikiwa bado mbichi kabisa,ni kuwa CCM huenda ikajitoa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazitokuwa na mashiko na hawatoshiriki.

Sababu ambayo mleta mbichi aliisema ni kuwa kila mipango wanayopanga inakuwa haina muelekeo wa kuwaletea ule ushindi wa goli la mkono ,kila mmoja anaogopa kuja kubebeshwa msalaba ikiwa kitanuka.

Na kuepuka aibu ya kushindwa ni bora wakatafuta sababu na kumuondoa mgombea wao katika ngazi ya uraisi na zaidi utolewe uamuzi wa kujitoa kwenye Uchaguzi mkuu.

Majadiliano ni makali sana kuna wanaotaka waendelee kichwakichwa liwalo na liwe na kama ni aibu wao itakuwa sio wa mwanzo kuna nchi kibao vyama tawala vimepoteza uongozi wa nchi na kuna wanaosema ila hilo tu,kushindwa itakuwa aibu ya kuzomewa mitaani na itazidi kuwadhoofisha ni bora lisitote wajiweke pembeni hata ikibidi dakika za mwisho.

Inasema mbichi hiyo kuwa hata mgombea ambae ni Magufuli amevunjika moyo na kumfanya aonekane hana furaha kwani anajiona waziwazi ameshakosa uungwaji mkono na mguu ,kila maamuzi inakuwa ya kubishana kwa maana hakuna umoja ndani ya vikao vyao ni lazima kunatokea migongano jambo ambalo linamshawishi nae ajichanganye na wale wanaotaka CCM ijitoe katika uchaguzi huu ili kuipisha aibu inayowalenga kwenye uso ,wanasikika wakisema bora nusu shari kuliko shari kamili.

Kwa upande wangu nawashauri waepuke shari kamili ,hebu jaribuni kuivuta picha ya kushindwa kwenu ,lazima mtasafiri kila mmoja upande wake na hapo mtakubali kama ndege hairudi kinyumenyume.


Mkuu usifanye mchezo kukata roho lazima wakukuruke
 
attachment.php

Jamani huku ni kujitoa ufaham au?? Huyu jamaa ameshasahau yule mwanamapinduzi Mwangosi. Hakumbuki ni bomu la machozi tena moja tuu, Haya shauri lake, baadaye mnailaumu policcm. Yaani wote pale vidole vilitaka kufytua tuuuuu akomeshwe
 
nyie wachumia tumbo hamjui hali ilivyo mbaya lumumba .

Mkuu mie nawaangalia hawa wanaobishia habari hii nawaonea huruma. Hivi wanajua tafaruku iliyo huko ccm? Ona Leo kwa kuchanganyikiwa mpaka wanazuia Lowasa asihudhurie mazishi eti watu ni wengi sii kichaa hicho? Sasa nasikia wanalaumiana eti nani kasema azuiwe?
Hofu yangu ni kwa Pombe aka Baba Fanuel, unajua hawa ccm hasa katika hali ya kukosa madaraka sio wema kabisa waweza mfanya jambo lolote baya huyu jamaa ili mradi wapewe muda na tume wajipange upya kupata mwingine.
Na kukosa furaha kwa Pombe ni kuwa hilo analijua laweza kutokea ndani ya chama chake. Kuna siku tusijeshangaa kusikia jamaa kalala mbele yuko Kisumu kwa jamaa take Omolo
 
Kuna habari muhimu nimeipata ikiwa bado mbichi kabisa,ni kuwa CCM huenda ikajitoa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazitokuwa na mashiko na hawatoshiriki.

Sababu ambayo mleta mbichi aliisema ni kuwa kila mipango wanayopanga inakuwa haina muelekeo wa kuwaletea ule ushindi wa goli la mkono ,kila mmoja anaogopa kuja kubebeshwa msalaba ikiwa kitanuka.

Na kuepuka aibu ya kushindwa ni bora wakatafuta sababu na kumuondoa mgombea wao katika ngazi ya uraisi na zaidi utolewe uamuzi wa kujitoa kwenye Uchaguzi mkuu.

Majadiliano ni makali sana kuna wanaotaka waendelee kichwakichwa liwalo na liwe na kama ni aibu wao itakuwa sio wa mwanzo kuna nchi kibao vyama tawala vimepoteza uongozi wa nchi na kuna wanaosema ila hilo tu,kushindwa itakuwa aibu ya kuzomewa mitaani na itazidi kuwadhoofisha ni bora lisitote wajiweke pembeni hata ikibidi dakika za mwisho.

Inasema mbichi hiyo kuwa hata mgombea ambae ni Magufuli amevunjika moyo na kumfanya aonekane hana furaha kwani anajiona waziwazi ameshakosa uungwaji mkono na mguu ,kila maamuzi inakuwa ya kubishana kwa maana hakuna umoja ndani ya vikao vyao ni lazima kunatokea migongano jambo ambalo linamshawishi nae ajichanganye na wale wanaotaka CCM ijitoe katika uchaguzi huu ili kuipisha aibu inayowalenga kwenye uso ,wanasikika wakisema bora nusu shari kuliko shari kamili.

Kwa upande wangu nawashauri waepuke shari kamili ,hebu jaribuni kuivuta picha ya kushindwa kwenu ,lazima mtasafiri kila mmoja upande wake na hapo mtakubali kama ndege hairudi kinyumenyume.
hua mnapewa viroba vingapi!
 
Back
Top Bottom