Kuna habari muhimu nimeipata ikiwa bado mbichi kabisa,ni kuwa CCM huenda ikajitoa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazitokuwa na mashiko na hawatoshiriki.
Sababu ambayo mleta mbichi aliisema ni kuwa kila mipango wanayopanga inakuwa haina muelekeo wa kuwaletea ule ushindi wa goli la mkono ,kila mmoja anaogopa kuja kubebeshwa msalaba ikiwa kitanuka.
Na kuepuka aibu ya kushindwa ni bora wakatafuta sababu na kumuondoa mgombea wao katika ngazi ya uraisi na zaidi utolewe uamuzi wa kujitoa kwenye Uchaguzi mkuu.
Majadiliano ni makali sana kuna wanaotaka waendelee kichwakichwa liwalo na liwe na kama ni aibu wao itakuwa sio wa mwanzo kuna nchi kibao vyama tawala vimepoteza uongozi wa nchi na kuna wanaosema ila hilo tu,kushindwa itakuwa aibu ya kuzomewa mitaani na itazidi kuwadhoofisha ni bora lisitote wajiweke pembeni hata ikibidi dakika za mwisho.
Inasema mbichi hiyo kuwa hata mgombea ambae ni Magufuli amevunjika moyo na kumfanya aonekane hana furaha kwani anajiona waziwazi ameshakosa uungwaji mkono na mguu ,kila maamuzi inakuwa ya kubishana kwa maana hakuna umoja ndani ya vikao vyao ni lazima kunatokea migongano jambo ambalo linamshawishi nae ajichanganye na wale wanaotaka CCM ijitoe katika uchaguzi huu ili kuipisha aibu inayowalenga kwenye uso ,wanasikika wakisema bora nusu shari kuliko shari kamili.
Kwa upande wangu nawashauri waepuke shari kamili ,hebu jaribuni kuivuta picha ya kushindwa kwenu ,lazima mtasafiri kila mmoja upande wake na hapo mtakubali kama ndege hairudi kinyumenyume.[/QUOTE
Uzi wako hausadikiki!! CCM haina sababu ya kujitoa kwenye uchaguzi mkuu. CCM bado ni chama dola; hata kama UKAWA watashinda Urais baada ya uchaguzi wa Oktoba 25/2015, bado CCM haitafutika; kitageuka tu na kuwa chama cha upinzani, maana ndicho chama kitakachokuwa na wabunge wa kutosha kuunda upinzani, hata kama hakitakuwa na ushindi wa kuunda serikali. Tusijipe matumaini ya kuzidi kiasi (Realistic); tuache akiba ya mambo kutokea tusivyotarajia (Optimistic).
R.i.p CCM Mungu awalaze mahala pema pepon
peponi hakuwafai, kwao ni shehol
Bavicha ( Baraza la vichaa Chadema)
Kuna habari muhimu nimeipata ikiwa bado mbichi kabisa,ni kuwa CCM huenda ikajitoa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazitokuwa na mashiko na hawatoshiriki.
Sababu ambayo mleta mbichi aliisema ni kuwa kila mipango wanayopanga inakuwa haina muelekeo wa kuwaletea ule ushindi wa goli la mkono ,kila mmoja anaogopa kuja kubebeshwa msalaba ikiwa kitanuka.
Na kuepuka aibu ya kushindwa ni bora wakatafuta sababu na kumuondoa mgombea wao katika ngazi ya uraisi na zaidi utolewe uamuzi wa kujitoa kwenye Uchaguzi mkuu.
Majadiliano ni makali sana kuna wanaotaka waendelee kichwakichwa liwalo na liwe na kama ni aibu wao itakuwa sio wa mwanzo kuna nchi kibao vyama tawala vimepoteza uongozi wa nchi na kuna wanaosema ila hilo tu,kushindwa itakuwa aibu ya kuzomewa mitaani na itazidi kuwadhoofisha ni bora lisitote wajiweke pembeni hata ikibidi dakika za mwisho.
Inasema mbichi hiyo kuwa hata mgombea ambae ni Magufuli amevunjika moyo na kumfanya aonekane hana furaha kwani anajiona waziwazi ameshakosa uungwaji mkono na mguu ,kila maamuzi inakuwa ya kubishana kwa maana hakuna umoja ndani ya vikao vyao ni lazima kunatokea migongano jambo ambalo linamshawishi nae ajichanganye na wale wanaotaka CCM ijitoe katika uchaguzi huu ili kuipisha aibu inayowalenga kwenye uso ,wanasikika wakisema bora nusu shari kuliko shari kamili.
Kwa upande wangu nawashauri waepuke shari kamili ,hebu jaribuni kuivuta picha ya kushindwa kwenu ,lazima mtasafiri kila mmoja upande wake na hapo mtakubali kama ndege hairudi kinyumenyume.
nyie wachumia tumbo hamjui hali ilivyo mbaya lumumba .
hua mnapewa viroba vingapi!Kuna habari muhimu nimeipata ikiwa bado mbichi kabisa,ni kuwa CCM huenda ikajitoa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazitokuwa na mashiko na hawatoshiriki.
Sababu ambayo mleta mbichi aliisema ni kuwa kila mipango wanayopanga inakuwa haina muelekeo wa kuwaletea ule ushindi wa goli la mkono ,kila mmoja anaogopa kuja kubebeshwa msalaba ikiwa kitanuka.
Na kuepuka aibu ya kushindwa ni bora wakatafuta sababu na kumuondoa mgombea wao katika ngazi ya uraisi na zaidi utolewe uamuzi wa kujitoa kwenye Uchaguzi mkuu.
Majadiliano ni makali sana kuna wanaotaka waendelee kichwakichwa liwalo na liwe na kama ni aibu wao itakuwa sio wa mwanzo kuna nchi kibao vyama tawala vimepoteza uongozi wa nchi na kuna wanaosema ila hilo tu,kushindwa itakuwa aibu ya kuzomewa mitaani na itazidi kuwadhoofisha ni bora lisitote wajiweke pembeni hata ikibidi dakika za mwisho.
Inasema mbichi hiyo kuwa hata mgombea ambae ni Magufuli amevunjika moyo na kumfanya aonekane hana furaha kwani anajiona waziwazi ameshakosa uungwaji mkono na mguu ,kila maamuzi inakuwa ya kubishana kwa maana hakuna umoja ndani ya vikao vyao ni lazima kunatokea migongano jambo ambalo linamshawishi nae ajichanganye na wale wanaotaka CCM ijitoe katika uchaguzi huu ili kuipisha aibu inayowalenga kwenye uso ,wanasikika wakisema bora nusu shari kuliko shari kamili.
Kwa upande wangu nawashauri waepuke shari kamili ,hebu jaribuni kuivuta picha ya kushindwa kwenu ,lazima mtasafiri kila mmoja upande wake na hapo mtakubali kama ndege hairudi kinyumenyume.