Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
mh. Samwel Sitta Mb, Waziri wa Afrika mashariki amekitaka chama chake cha mapinduzi kuchukua hatua za haraka na muhumu za kujirekebisha, hatua ambazo zitaweza kukijengea chama chake picha nzuri mbele ya wananchi kwani hali ilivyo, inaonyesha kupoteza mvuto mbele ya wananchi.
Pia amekionya chama chake kuepuka ile dhana ya uchanga wa vyama vya upinzani akidai kua vyama vya upinzani kwa sasa vimekomaa na ndio maana vyaweza toa hatua kali kwa serikali.
Anasema kwa CCM kujisafisha Viongozi maslai wote ndani ya chama anashauri wachunguzwe kwa manufaa ya chama.
Wadau, mimi binafsi napenda sana misimamo ya mh. huyu! Nawasilisha hoja!
Pia amekionya chama chake kuepuka ile dhana ya uchanga wa vyama vya upinzani akidai kua vyama vya upinzani kwa sasa vimekomaa na ndio maana vyaweza toa hatua kali kwa serikali.
Anasema kwa CCM kujisafisha Viongozi maslai wote ndani ya chama anashauri wachunguzwe kwa manufaa ya chama.
Wadau, mimi binafsi napenda sana misimamo ya mh. huyu! Nawasilisha hoja!