Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,480
- 78,732
chama cha mapinduzi a.k.a chama cha MAGAMBA..wanatarajia kufungua Tv yao..itakayo kwenda kwa jina la UHURU TV
watu walioteuliwa kusimamia na mpk kukamilika kwa Tv hiyo ni
1.Abdalahman Kinana
2.Zakia Meghji na
3.Wiliam Lukivi
Source:MTANZANIA
ANGALIZO:..sasa CHADEMA..nao waanze mchakato wa kuwa na Tv yao
pia je hiyo Tv walengwa wao nani hasa?
watu walioteuliwa kusimamia na mpk kukamilika kwa Tv hiyo ni
1.Abdalahman Kinana
2.Zakia Meghji na
3.Wiliam Lukivi
Source:MTANZANIA
ANGALIZO:..sasa CHADEMA..nao waanze mchakato wa kuwa na Tv yao
pia je hiyo Tv walengwa wao nani hasa?