CCM Kufanya uchaguzi bila CHADEMA ni kujitekenya na kujichekesha

CCM Kufanya uchaguzi bila CHADEMA ni kujitekenya na kujichekesha

Mfalme_wa_Nyika

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2023
Posts
684
Reaction score
1,541
Hii nchi washaifanya kama ya bibi yao, ila kweli Lissu fundi na kiboko yao...CCM wanajua huu uchaguzi sio mkuu bali uchaguzi wakiduwanzi kuwahi kutokea....

Sijui watashangilia kuwa wameshinda uchaguzi kutoka kwa nani!? Yaani wamemshinda mpinzani gani!?
Hili ndo linawauma ccm na Lissu kapiga kwenye mshono....

Raha ni kwamba serikali hii ijayo itakosa uhalali wa halali kabisa kutoka kwa wenye nchi hii na pia uhalali wa wazi kutoka jumuiya ya kimataifa....

Mjiandae kwa misaada kusitishwa pia mjiandae na tozo na kodi mpaka za kichwa kudayafa mpaka wote mtaenda barabarani siku moja

Nimemaliza.
 
Hii nchi washaifanya kama ya bibi yao, ila kweli Lissu fundi na kiboko yao...CCM wanajua huu uchaguzi sio mkuu bali uchaguzi wakiduwanzi kuwahi kutokea....
Sijui watashangilia kuwa wameshinda uchaguzi kutoka kwa nani!? Yaani wamemshinda mpinzani gani!?
Hili ndo linawauma ccm na Lissu kapiga kwenye mshono....
Raha ni kwamba serikali hii ijayo itakosa uhalali wa halali kabisa kutoka kwa wenye nchi hii na pia uhalali wa wazi kutoka jumuiya ya kimataifa....
Mjiandae kwa misaada kusitishwa pia mjiandae na tozo na kodi mpaka za kichwa kudayafa mpaka wote mtaenda barabarani siku moja

Nimemaliza.
CHadema waliposhiriki 2020 nini kilibadilika ?
 
Hii nchi washaifanya kama ya bibi yao, ila kweli Lissu fundi na kiboko yao...CCM wanajua huu uchaguzi sio mkuu bali uchaguzi wakiduwanzi kuwahi kutokea....

Sijui watashangilia kuwa wameshinda uchaguzi kutoka kwa nani!? Yaani wamemshinda mpinzani gani!?
Hili ndo linawauma ccm na Lissu kapiga kwenye mshono....

Raha ni kwamba serikali hii ijayo itakosa uhalali wa halali kabisa kutoka kwa wenye nchi hii na pia uhalali wa wazi kutoka jumuiya ya kimataifa....

Mjiandae kwa misaada kusitishwa pia mjiandae na tozo na kodi mpaka za kichwa kudayafa mpaka wote mtaenda barabarani siku moja

Nimemaliza.
Naona tozo ya baiskeli na Kodi ya kichwa ikirudi!
 
Viongozi, wanachama na raia wapenzi na wapiga kura kwa ccm wengi walishakuwepo na sasa hawapo ila wameiacha ccm madarakani ikiendelea kuaminiwa kuongoza.
We mwizi nenda kamjibu polepole wenu kama ccm inakubalika weka katiba mpya hapa weka tume huru pale weka mpira kati kisha isahau ccm milele, na nakuhakikishia Mungu kaniambia nitaishi na nitaona ccm ikiondoka madarakani na siku hiyo nitafanya sherehe kwa mwezi mmoja
 
We mwizi nenda kamjibu polepole wenu kama ccm inakubalika weka katiba mpya hapa weka tume huru pale weka mpira kati kisha isahau ccm milele, na nakuhakikishia Mungu kaniambia nitaishi na nitaona ccm ikiondoka madarakani na siku hiyo nitafanya sherehe kwa mwezi mmoja
Kila la heri. Chama kitaendelea kunadi sera ili kiendelee kukuongoza kwa awamu nyingine.
 
Back
Top Bottom