CCM kuendelea kutawala sana

CCM kuendelea kutawala sana

mopaozi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
3,300
Reaction score
523
Tujadili hapa sababu ya kwangu mtandao wake umeenea kila mahala ukifk sehemu yeyote tz kipo karibu na wananchi kuliko vyama vengine ambavyo viko too selective mijini tuu tuongee ukweli je mijini ndo tanzania!!mbwembwe nyingi kama za sisimizi anayemzuia tembo kunywa maji
 
Mwanangu nimekoma hakika wewe si riziki. Umetumwa au unajituma? Unatumiwa au unatumika? Kwa watu wenye mawazo mgando CCM ndilo jua ndiye Mungu ndiyo oxygen na kila kitu. Ila kwa wenye akili CCM ni just a passing cloud. Kuna siku utaona walichokiona wakenya waliokuwa na mawazo mgando na mtindio wa ubongo waliodhani kuwa KANU ni kila kitu wasijue si kitu.
 
Mwanangu nimekoma hakika wewe si riziki. Umetumwa au unajituma? Unatumiwa au unatumika? Kwa watu wenye mawazo mgando CCM ndilo jua ndiye Mungu ndiyo oxygen na kila kitu. Ila kwa wenye akili CCM ni just a passing cloud. Kuna siku utaona walichokiona wakenya waliokuwa na mawazo mgando na mtindio wa ubongo waliodhani kuwa KANU ni kila kitu wasijue si kitu.

Hoja hakuna usitukane wakunga na uzazi ungalipo!
 
Mwanangu nimekoma wewe una hoja gani zaidi ya mdondo wa kifikra? Swali bovu hupewa jibu bovu especially unapowauliza watu wazima na wenye fikra kama JF. Kampeni zako kapigia huko kwenu madongo poromoka unakoonekana mjuvi na msomi wakati siyo.
 
Huyu nimekoma anapima akili za watu anaujua ukweli kwamba ccm imewatesa waTz miaka 50 na bado wanatufanya kitu mbaya wakifikiri bado tu wadanganyika wasubiri waone
 
tujadili hapa sababu ya kwangu mtandao wake umeenea kila mahala ukifk sehemu yeyote tz kipo karibu na wananchi kuliko vyama vengine ambavyo viko too selective mijini tuu tuongee ukweli je mijini ndo tanzania!!mbwembwe nyingi kama za sisimizi anayemzuia tembo kunywa maji

unatumia. Masaburi kufikri. Upo upo tu kama juha.
 
Bado hujaeleza kwnn mnaganga njaa mijini na ahadi zenu za kufikirika bado sanaaaa mtapiga marktyme hakuna la maana watz c wajinga kihvy hawadanganyiki
 
Mnadanganywa sana mijini njooni huku bush muone watanzania wanavyoikubali chama lao
 
HAMNA LOLOTE, NI KIPI KINAWAFANYA WKT WA CHAGUZI MNAKUWA BIZE MKINUNUA KADI ZA WATU, MMEWAFANYA WATU MAFUKARA NA SASA MNAONGA ATA ELF5 MKIJUA KWA UFUKARA WA WATANZANIA HAWATAKATAA, AKILI YA KIJINGA, LKN SKU ZNAESABIKA, MTATUFULL 4SOMETIMES NA C 4EVER. MBWA NYIE KASORO MIKIa
 
Eti umefanyiwa kitu mbaya sema umejifanyia mwenyewe shule umekimbia halafu unataka kuona maisha mazuri.Shida unayo mwenyewe usisemee watanzania wote, maskini wakujitakia wewe.Na unandoto ukafikiri chadema watakusaidia chochote Slaa mwenyewe anamtoto wa mwaka mmoja wa kumlea anawazuga manyangau tu.
Huyu nimekoma anapima akili za watu anaujua ukweli kwamba ccm imewatesa waTz miaka 50 na bado wanatufanya kitu mbaya wakifikiri bado tu wadanganyika wasubiri waone
 
Kule kijini kwetu ukimwambia mtu yeye ni mana CCM unakuwa unakuwa umemtukana tusi kubwa sana, huo mtandao sijui umeenea wapi. Jaribu kunawa uso kwanza kabla ya kupost hoja humu usiwe unapost vitu ukiwa usingizini. wenye akili timamu watakushangaa sana.
 
majembe mapyaa kwa msimu wa kilimo kuelekea 2015 mavuno ya kumwagaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom