mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,300
- 523
Tujadili hapa sababu ya kwangu mtandao wake umeenea kila mahala ukifk sehemu yeyote tz kipo karibu na wananchi kuliko vyama vengine ambavyo viko too selective mijini tuu tuongee ukweli je mijini ndo tanzania!!mbwembwe nyingi kama za sisimizi anayemzuia tembo kunywa maji