CCM kuanzisha makampuni ya biashara

hahaa! asubuhi yangu imekuwa poa sana, hili la mfuga fisi kubadilika akafuga mbuzi, bado kuona. hahaaa! nyinyiem bhana, hakunaga komedi kama magamba.
 
NAHISI KISUMO alisema wataanzisha makampuni ila kwa sasa pia wana hisa kwenye makampuni ambayo asingeweza kuyataja.kwa hiyo tayari wanahisa ila tatizo wanachama wenyewe wa CCM hawajui wanaojua ni wenye CCM tu.
Kushabikia chama kama hiki inahitaji nguvu ya ziada kama hata hisa za chama inakuwa siri kwa wanachama wake!
 
Ideally ni wazo zuri badala ya kutegemea fedha chafu kutoka kwa akina Rostamu etc.

Practically sijui kama ita work unless haya makampuni yawe ya kupitishia pesa chafu
kutoka serikalini. Hivi hili ni wazo wa First class economist Nchemba? Au yeye kazi yake
ni ku-sign cheque tu?
 
Itaitwa ccm tena au kampuni ya biashara tanzania?(kbt) au (ccm kbt) na tutaomba warudi nyuma waangalie malengo ya kuanzisha chama kwa msajili wa vyama yalikua ni ya kisiasa au ya kibiashara?
 
Hawa wanatapatapa tu, kwani hiyo hela watakayo anzishia au kuwekeza kwenye makampuni ni safi?
Haya yote sasa hivi wanayotaka kufanya ni pasua kichwa ya namna watakavyoishi baada ya 2015.
Hela nyini sana ya ruzuku toka serikalini kwa kuwa na wabunge wengi iliyokuwa inawatia kiburi itayeyuka na kuchota hela ovyo sehemu mbalimbali serikalini na kwenye mashirika ya uma itakuwa ni kikomo, watashikilia makali badala ya mpini!
Picha ya 2016 itakuwa ni movi baaab kubwa ambayo itapiku kwa mauzo picha zote zilizowahi kuchezwa duniani!
 
Mkuu hicho kichwa cha habari kilitakiwa kiwe hivi CCM KUANZISHA NJIA MPYA ZA KUIBA PESA. wameona mambo yanazidi kubana wanajifanya kuwa wabunifu ngoja CDM ichukue nchi tunataifisha vyote mlivyopora na kujimilikisha.
 
Back
Top Bottom