CCM: Kiti cha Spika kimeinyima nafasi CCM!

CCM: Kiti cha Spika kimeinyima nafasi CCM!

Naona poucher anapewa mbuzi nadhani kitu cha kwanza atomtoa pembe.Nasikia huyu mzee apatani na pembe kabisa.
 
mama kawasaidia kuona ndani mnakiaibisha chama bora awatoe CDM nje sasa nyie mnamlalamikia tena .hyo ni twanga kotekote
 
Wabunge wa Chadema wajanja sana! Wamekusanya pesa kutoka kwa wananchi wasiojua janja yao kufidia posho ya vikao vitano walizozikosa.
 
Wabunge wa CHADEMA wameshakusanya hela za wajinga kwenye hiyo mikutano yao baada ya hapo wanaenda Bar kujipongeza.

zile mnazokusanya kwa wahindi au kwasababu hazitangazwi?:nono:
 
makinda na ndugai huwa wanafanya kz kwa kukulupuka tu,, sasa wanaanza kumtafuta mchawi.. mchawi wa ccm ni
ccm wenyewe
 
Wabunge wa CHADEMA wameshakusanya hela za wajinga kwenye hiyo mikutano yao baada ya hapo wanaenda Bar kujipongeza.

mkuu wangu sumu,unamaanisha pesa wanazuchanga chadema zimeshafikia mlizo piga kwenye EPA,RADA,RICHMOND /DOWANS....???
ambapo pesa yote hutumika kwenye chaguzi na sasa kuna akiba ya kutosha USWISS
 
Wabunge wa CHADEMA wameshakusanya hela za wajinga kwenye hiyo mikutano yao baada ya hapo wanaenda Bar kujipongeza.

hili nenda kalishtaki kwa IGP si ni polisi wenu
 
kila kosa wanalofanya CCM ni opportunity kwa CHADEMA wao hawana nafasi ya kupoteza.
 
Wabunge wa Chadema wajanja sana! Wamekusanya pesa kutoka kwa wananchi wasiojua janja yao kufidia posho ya vikao vitano walizozikosa.

Akili Mgando haiwezi zalisha point ya maana simply because imeganda na utabakia mgando for good.
 
Wabunge wa CHADEMA wameshakusanya hela za wajinga kwenye hiyo mikutano yao baada ya hapo wanaenda Bar kujipongeza.
bora wanaokusanya za wajinga wenye kutaka maendeleo, kuliko wanaotoa ela za kifisadi kununua watu kuja kwenye mikutano na kuwapa wasanii kupiga shoo, jinsi gani hamuwezi kuwavuta watu mpaka mtumie wasanii, cheki CDM, watu wakisia Dr slaa na makamanda wengine wapo watu nyomi. fikiria kwa makini.
 
VUTA-NKUVUTE ,

Mbona wakati ukiwa Ruvu hukuwahi kuwa mchonga stories namna hii?.

Siamini pia katika fani ya sheria unaweza ukawa pia mtengeneza stories badala ya kuwa mzuia watengeneza stories.

Is politics turned you upside down?. I'm still puzzed.
 
13.+kinana+akikabidhi+mbuzi+kwa+nahodha+wa+timu+ya+libenenga,++steven+maundu.+kulia+ni++bdallah+mazengo+wa+nkongo+fc+iliyofungwa+2-0+kinana+cup,+ulanga.jpg

hivi mbona watoa zawadi wenyewe wamevaa viatu vya chooni. Kwa nini wasiuze huyo mbuzi ili wapate pesa za kununulia viatu?. Naomba kuuliza, pembe za mbuzi sio dili?
 
Hii style ya CHADEMA kuishitaki serikali ya ccm kwa wananchi nimeipenda sana... Lazima magamba watafutane uchawi...
 
Ha haa Ndugai na Makinda wanasaidia kuharakisha kifo cha CCM.
 
Waache wakashitakiwe kwenye mahakama ya wananchi huko ndio kanuni zinafuatwa!!!!!!!!!!
 
mkuu nakuaminia sana, lakini ngoja vijana wa buku 7 7 wa lumumba wa kinana na nape waje, jiandae na mvua ya mawe,,

unajua mkuu sisiemu mnakosea sana, yaani nyinyi mngejikita katika sera zenu na kutatua matatizo ya wananchi, vyama pinzania kama chadema vingekufa nataural death, unazani wangesema nini??/

sasa tatizo la chamachenu sijui halina washauri au ni ukaidi tu, au ni jadi nyinyi kudanganya, na matatizo haya ya ahadi hewa 68 mlizozitoa 2010 yatawasumbua sana 2015,

timizeni ahadi zenu mlizozitoa kwa wananchi tangu 1992 hiyo ndio njia pekee na salama ya kuzibiti upinzani, tofauti na hapo polisi watajisumbua bure kuzuia na kuua watu
si mbunge mmoja kijana alisema bungeni kuwa serikali imevaa miwani ya mbao!?
 
Kwa wale tuliosoma enzi za Zidumu fikra za mwalimu basi watakikumbuka kitendawili hiki..'Pampaluma Mlango wa Chuma ukiufungua hauna huruma"...............Kazi kwao
 
Wabunge wa CHADEMA wameshakusanya hela za wajinga kwenye hiyo mikutano yao baada ya hapo wanaenda Bar kujipongeza.


kuna vyakula vya kuibua akili mgando kutoka afrika kusini, kavinunue angalao vinaweza vikakusaidia kidogo kwa kuwa unaonekana wewe huko na kumbukumbu za hali ya Mtanzania na jinsi tunavyodhulumiwa kupitia baadhi ya watendaji na viongozi wa ccm. ccm wanahonga wananchi na wananch wanachangia maendeleo ya chadema ili kiwakomboe kutoka utumwa wa mika 50 tangia uhuru kiini macho. nilishacomment cku moja kuwa yawezekana wewe sio mtanzania au ndo miongoni mwa wahujumu hamtaki kusikia habari za ukombozi wa watanzania. utahaha usiku na mchana kutoa inconsistent posts/ comments ili hali hali ni tofauti na unachokisema.
 
Ukiwa na stress sana na unacheza mpira hasa nafasi ya Beki sometimes unaweza kudhani unapigia mchezaji mwenzio kumbe unajifunga mwenyewe, hicho ndicho alicho kifanya Ndugai na Bi mkola, ni stress tu za mpira, we unawachezaji wanaokaba, wanatoa pasi za uhakika na wakifika gorini wanafunga magori ya ukweli, una beki mchovu kama Ndugai unategemea nini!? Imeisha kula kwao hapo tena, walidhani kina Tundu wangekaa Dodoma kula raha na kusahau kua hawa ni vifaa vya kazi.
 
Back
Top Bottom