Reykijaviki
JF-Expert Member
- Aug 25, 2020
- 426
- 652
Wanabodi kuna watu walazimisha ukweli uwe uongo na uongo uwe ukweli, Lakini wanasema hata vitabu vya dini vinasema mahali popote ulipo ukweli ndipo nuru ilipo. Sasa nauliza hivi kuna watu bado wanaamini kabisa Chama cha Mapinduzi kinapendwa?
Kinachopendwa sasa hivi ni kulinda matumbo yao mfano wagombea ubunge wengi wa CCM wanalinda matumbo yao na sio kweli kwamba wanakipenda chama chao kwa dhati.
Ila upande wa pili wananchi wameamua kukichukia kwa dhati ili kuondokana na neno"KULIMIA KWA MENO" tafsiri inayotolewa kimakosa eti mafisadi ndio yanalimia meno kumbe watu wananyang'anywa haki zao, Uhuru wao, na maendeleo yao.
Watu ambao hawajui hata maana ya neno ufisadi katika maisha yao. Mfano Waalimu, maaskari, wakulima ( att.mikoa ya kusini), wafanya biashara mfani yule jamaa wa bureau de change wa Tanga aliyenyang'anywa pesa zake kwa kuporwa na Serikali,na wengine wengi, Sasa swali langu nauliza je kuna watu bado wanaamini kwa dhati kabisa kwamba CCM bado inapendwa?
Kinachopendwa sasa hivi ni kulinda matumbo yao mfano wagombea ubunge wengi wa CCM wanalinda matumbo yao na sio kweli kwamba wanakipenda chama chao kwa dhati.
Ila upande wa pili wananchi wameamua kukichukia kwa dhati ili kuondokana na neno"KULIMIA KWA MENO" tafsiri inayotolewa kimakosa eti mafisadi ndio yanalimia meno kumbe watu wananyang'anywa haki zao, Uhuru wao, na maendeleo yao.
Watu ambao hawajui hata maana ya neno ufisadi katika maisha yao. Mfano Waalimu, maaskari, wakulima ( att.mikoa ya kusini), wafanya biashara mfani yule jamaa wa bureau de change wa Tanga aliyenyang'anywa pesa zake kwa kuporwa na Serikali,na wengine wengi, Sasa swali langu nauliza je kuna watu bado wanaamini kwa dhati kabisa kwamba CCM bado inapendwa?