kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Habari za mchana wakuu?
Tukatae tukubari Lisu kabadirisha upepo wa siasa za kusifu na kuabudu kutoka kwaya matata sana ya kusifu na kuabudu kutoka Lumumba.
Hoja hawana wanabaki kusema oh! wapinzani sio wazalendo watauza nchi nawakumbusha tu watanzania sio wajinga tena.
Kila MTANZANIA awe CHADEMA ,ACT UDP ni MZALENDO kwa nchi yake msijipe hati miliki ya uzendo
Tunajua chama chenu kimejaa wanafiki tu sahivi watu wanaogopa kusema kitu kumkosoa mkuu wa kangi Lugola
Tuamkeni watanzania kila mtu ana uchungu na nchi yake hapo tulipo CCM imetufikisha wafanyakazi maiaka mi 4 hakuna mabàdiriko tuamkeni tumkatae mkoloni mweusi.
KAMA CCM MNAJIONA NYIE NI WAZALENDO PEKEE ONDOENI MULTIPARTY SYSTEM TUJUE MOJA.
Tukatae tukubari Lisu kabadirisha upepo wa siasa za kusifu na kuabudu kutoka kwaya matata sana ya kusifu na kuabudu kutoka Lumumba.
Hoja hawana wanabaki kusema oh! wapinzani sio wazalendo watauza nchi nawakumbusha tu watanzania sio wajinga tena.
Kila MTANZANIA awe CHADEMA ,ACT UDP ni MZALENDO kwa nchi yake msijipe hati miliki ya uzendo
Tunajua chama chenu kimejaa wanafiki tu sahivi watu wanaogopa kusema kitu kumkosoa mkuu wa kangi Lugola
Tuamkeni watanzania kila mtu ana uchungu na nchi yake hapo tulipo CCM imetufikisha wafanyakazi maiaka mi 4 hakuna mabàdiriko tuamkeni tumkatae mkoloni mweusi.
KAMA CCM MNAJIONA NYIE NI WAZALENDO PEKEE ONDOENI MULTIPARTY SYSTEM TUJUE MOJA.