Kipindi : Msumari wa Moto
OLE MEDEYE: RAIS KIKWETE ALITUVURUGA/LOWASSA HANA FEDHA/ALITAKA KUMBEBA MEMBE
Goodluck Ole Medeye alijiunga na Umoja wa Vijana wa 1968 uliofahamika kama TANU Youth League, 1977 aliiona CCM ikizaliwa kufuatia TANU na ASP kuungana. 1992 mfumo wa vyama vingi kuzaliwa.
Hivyo anaifahamu CCM kwa miongo zaidi ya mitano yaani miaka 52 sasa. Mwaka 2015 aliona na kushuhudia mvurugano ktk uteuzi wa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM . Ole Medeye anasema hakupata kuona hali hiyo ya mvurugano ndani ya CCM mwaka 1995, si 2000 wala 2005 hata 2010. Ila mwaka 2015 CCM iliyumba na kuacha kufuata katiba ya chama kanuni na mazoea.
Wabunge wa CCM Mpya hata ktk vikao vya ndani yaani party caucus huku milango na madirisha yamefungwa bila waandishi wa habari bado wanahofu na staili mpya ya kuweka nidhamu ndani ya chama hivyo wabunge wanaCCM hawawezi kumsema Waziri Mkuu au kumshauri Rais kwa kuogopa kukatwa majina yao 2020
Kwenye Msumari wa Moto wiki hii Charles William na David Rwenyagira wanakutana uso kwa uso na aliyekua Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pia Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi (2010 - 2015), Goodluck Ole Medeye ambaye anafunguka mengi kuhusu nyadhifa alizowahi kuzitumikia.
Ole Medeye ambaye kwa sasa ni mwanachama wa kawaida tu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), pia anakumbushia jinsi mchakato wa kuchuja wagombea Urais wa chama hicho mwaka 2015 ulivyosababisha mpasuko mkubwa miong
Source : Wasafi Media
OLE MEDEYE: RAIS KIKWETE ALITUVURUGA/LOWASSA HANA FEDHA/ALITAKA KUMBEBA MEMBE
Goodluck Ole Medeye alijiunga na Umoja wa Vijana wa 1968 uliofahamika kama TANU Youth League, 1977 aliiona CCM ikizaliwa kufuatia TANU na ASP kuungana. 1992 mfumo wa vyama vingi kuzaliwa.
Hivyo anaifahamu CCM kwa miongo zaidi ya mitano yaani miaka 52 sasa. Mwaka 2015 aliona na kushuhudia mvurugano ktk uteuzi wa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM . Ole Medeye anasema hakupata kuona hali hiyo ya mvurugano ndani ya CCM mwaka 1995, si 2000 wala 2005 hata 2010. Ila mwaka 2015 CCM iliyumba na kuacha kufuata katiba ya chama kanuni na mazoea.
Wabunge wa CCM Mpya hata ktk vikao vya ndani yaani party caucus huku milango na madirisha yamefungwa bila waandishi wa habari bado wanahofu na staili mpya ya kuweka nidhamu ndani ya chama hivyo wabunge wanaCCM hawawezi kumsema Waziri Mkuu au kumshauri Rais kwa kuogopa kukatwa majina yao 2020
Kwenye Msumari wa Moto wiki hii Charles William na David Rwenyagira wanakutana uso kwa uso na aliyekua Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pia Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi (2010 - 2015), Goodluck Ole Medeye ambaye anafunguka mengi kuhusu nyadhifa alizowahi kuzitumikia.
Ole Medeye ambaye kwa sasa ni mwanachama wa kawaida tu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), pia anakumbushia jinsi mchakato wa kuchuja wagombea Urais wa chama hicho mwaka 2015 ulivyosababisha mpasuko mkubwa miong
Source : Wasafi Media