CCM itashinda mapema na kweupe bila bao la mkono

CCM itashinda mapema na kweupe bila bao la mkono

Hata mgonjwa aliye ICU anaiman atapona n km ccm walivyo na iman watashinda lkn wapii .kitumbua kimeshaingia mchanga hichooo mamviiiii huyo ikuluuuuuu
 
Ndoroobo wewe lowasa kumpokea Monduli sawa lakini sio Ikulu. Ikulu ni ya Magufuli tu.

Naona inakuuma sana kwamba mrija wako unaelekea mwishoni kukatika.
Walafi na wahujumu nchi ww na ccm yako. Mwisho wenu umefika. Poleni sana!
 
Bao la mkono la wapi tupo makini kinoma tutapigana mpaka kuche..mwaka huu lazima ccm itoke mkipiga bao la mkono sie tunawachapa mikono...wakala anaetaka kifo ajidai kupokea hela chafu..tutamchafua damu

Utapigana na nyota za angani ...yaani toka jana mie nimeakikisha Magufuri anashinda kwa 90% na sahivi naandaa sherehe tu
 
Back
Top Bottom