Mpigieni Lowasa za kumrudisha Monduli
ushindi wa ccm ni wa wazi kwa sababu ccm imeshawishi na kuwafikia ana kwa ana makundi mengi zaidi ya vijana , kina mama , na wazee kuliko mgombea mwingine yeyote yule hasa mikutano ya njiani, hyo itampa magufuli ushindi
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura
Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli
Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM
Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote[/QUO
Wewe Mbona unayo pia kadi ya cdm mkuu? Au nifunguke?
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura
Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli
Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM
Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote
Nyie mbona mna harufu ya damu. Wajinga sana kwani unadhani vita ina macho. Ukileta shari vijana wa Mangu wanakushughulikia. Ccm ushindi ni lazima
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura
Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli
Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM
Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote
Hiyo ni kweli mkuu ndo mana hata mzee waukawa ameogopa mdahalo ili asianguke jukwaani na kupunguza kura zaidi