CCM itashinda mapema na kweupe bila bao la mkono

CCM itashinda mapema na kweupe bila bao la mkono

Migogaaaaaaaa ha ha ha ha nina wasiwasi na uelewa na akili zako kusoma hujui hata picha huioni au ndo hzio imaniiiiiiiii?
 
ukawa mtapata wapi hela za kurudisha hela mlizochukua kwa ajili ya kampen? polen mkimpa lowassa kwanza maden mwisho nyie....... shtukaaaa
 
ushindi wa ccm ni wa wazi kwa sababu ccm imeshawishi na kuwafikia ana kwa ana makundi mengi zaidi ya vijana , kina mama , na wazee kuliko mgombea mwingine yeyote yule hasa mikutano ya njiani, hyo itampa magufuli ushindi

Ni kweli mtashinda, mbona mnaoogopa tulinde kura?
 
Mtoa post unamahaba hata kipofu utamuona chongo
 
magufuli hawezi shinda huu uchaguzi hata yeye anajua
 
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura

Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli

Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM

Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote[/QUO


Wewe Mbona unayo pia kadi ya cdm mkuu? Au nifunguke?
 
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura

Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli

Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM

Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote

#RIPccm
 
Nyie mbona mna harufu ya damu. Wajinga sana kwani unadhani vita ina macho. Ukileta shari vijana wa Mangu wanakushughulikia. Ccm ushindi ni lazima

Yani katika mafala wote duniani ww ni no1 huu mwaka sio 2005 jombaa lazima tutashikana kwhy ccm take care coz you gat 1 week to become #RIPccm
 
Kushinda lazima tushindeeeeee...
Wanachofanya ukawa ni kutoa pesa mfuko wa kushoto na kuweka kulia
 
ccm bila goli la mkono hawashindi. ndo maana wakuu wa mikoa na wilaya wameanza kuingilia kazi za tume....
 
tutashidaje kwa miguuu wakati kura tunapigia mikono?
kamakura tuna piga kura kwa mkono basi tutashinda kwa mkionoooooo
 
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura

Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli

Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM

Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote

Kinyume chake ni UKAWA, kubali kataa anza kujianda kumpokea Lowassa.
 
Back
Top Bottom