CCM itaondolewa lakini...

CCM itaondolewa lakini...

Dopas

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2010
Posts
1,151
Reaction score
392
CCM itaondolewa madarakani lakini sio mwaka huu, wala sio na UKAWA kupitia Lowasa wala Sumaye.
Itaondelewa tu muda ukifika, wapinzani wa kweli wakijipanga upya, na kudhamiria kuiondoa CCM kweli kweli.
Wapinzani wa kweli wanaweza toka ndani ya CHADEMA, au CUF au chama kingine imara.
UKAWA kwa sasa wenyewe hawajui inaongozwa na nani... ndo maana ameachiwa mzee mamvi apigane kufa kupona, lakini safari ya Ikulu hiyo mhhh... kila la heri lakini.
Ni maoni yangu tu, uko huru kuwa kinyume na mtazamo huu, huna sababu ya kunitusi.
 
Kiukweli UKAWA haijajipanga kuchukua nchi,kuanzia mfumo wao wa majimbo maana mpaka sasa wana mgogoro wa majimbo kati ya CUF,CHADEMA,NCCR

Naziona Siasa za Madaraka(Political for Power) katika Ukawa,kila chama kinataka kisimamishe mgombea wao na kusahau kama wameungana,siku njema huonekana asubuhi hii hali walioanza nayo ukawa ndiyo itakavyokuwa mbele ya safari endapo watafanikiwa kuchukua nchi(Ahahaaaaaaa)

Tunataka Siasa za maendeleo na sio siasa za Utawala na kuigawana Tanzania utafikiri haina wenyewe
 
Kiukweli UKAWA haijajipanga kuchukua nchi,kuanzia mfumo wao wa majimbo maana mpaka sasa wana mgogoro wa majimbo kati ya CUF,CHADEMA,NCCR

Naziona Siasa za Madaraka(Political for Power) katika Ukawa,kila chama kinataka kisimamishe mgombea wao na kusahau kama wameungana,siku njema huonekana asubuhi hii hali walioanza nayo ukawa ndiyo itakavyokuwa mbele ya safari endapo watafanikiwa kuchukua nchi(Ahahaaaaaaa)

Tunataka Siasa za maendeleo na sio siasa za Utawala na kuigawana Tanzania utafikiri haina wenyewe

Unashangaa mgogoro ukawa,ila hushangai Job Ndugai alivyomtandika mtu stick za kichwa.
 
Mie sifahamu hawa UKAWA Wana akili gani; does it make sense that you really want to bring changes via CCM Comrades? Same wife in a different bottle?
 
Mie sifahamu hawa UKAWA Wana akili gani; does it make sense that you really want to bring changes via CCM Comrades? Same wife in a different bottle?

Same wife in different bottle??? ama kweli kingereza kigumu ila haya yote yamefanywa na CCM
 
Mleta mada kanikumbusha kisa cha mbonde mkono huo, Mbonde akajibu "nimeu time"
 
CCM itaondolewa madarakani lakini sio mwaka huu, wala sio na UKAWA kupitia Lowasa wala Sumaye.
Itaondelewa tu muda ukifika, wapinzani wa kweli wakijipanga upya, na kudhamiria kuiondoa CCM kweli kweli.
Wapinzani wa kweli wanaweza toka ndani ya CHADEMA, au CUF au chama kingine imara.
UKAWA kwa sasa wenyewe hawajui inaongozwa na nani... ndo maana ameachiwa mzee mamvi apigane kufa kupona, lakini safari ya Ikulu hiyo mhhh... kila la heri lakini.
Ni maoni yangu tu, uko huru kuwa kinyume na mtazamo huu, huna sababu ya kunitusi.


Nakubaliana nawe kwamba ni wananchi pekee ndio wanaoweza kuiondoa CCM. Mwaka huu wananchi wamejipanga na hilo. Muda wa mabadiliko umefika sasa. Wananchi wamevumilia mateso ya serikali zote zilizopita za CCM na sasa wanasema imetosha. Kama nawe ni mpenda mabadiliko basi njoo kwenye 'Noah's Arch' CCM ni mtumbwi uliotoboka.
 
Mie sifahamu hawa UKAWA Wana akili gani; does it make sense that you really want to bring changes via CCM Comrades? Same wife in a different bottle?
Huwezi kukitoa chama kilichoko madarakani hadi chama hicho kigawanyike. Nigeria, Zambia na kote kule ambako chama tawala kimeondolewa ni baada ya viongozi maarufu waliokuwa vyama hivyo kuhamia upinzani, Watu kama akina Obasanjo wamehamia upinzani ndipo mageuzi yakapatikana,

Michael Chilufya Satta alikuwa waziri maarufu ndani ya chama tawala, alihamia upinzani akagombea na akashinda!!


Nadhani vitu kama hivyo ulikuwa huvijui mkuu, ungekuwa unavijua usingeshangaa UKAWA, tunaovijua tunajisemea kimoyomoyo tu kuwa Tanzania napo yametimia!
 
Katika majimbo na nafasi za udiwani Ukawa wameanza kuonekana wakiwa, wagombea wengi wa udiwani na ubunge hasa wale underground hawapati support ya kutosha kutoka ngazi ya Taifa hasa financialy, Viongozi wa kitaifa wanamuangalia Lowasa tu. UKAWA haina nguvu kabisa katika mashina
 
Kama wewe si mpinzani kaa mbeleni... Usilete hapa story za chooni
 
Oct 25 mkapge kula uli msihaibke kutoka madarakan manake lowassss ninamwelewa san kuliko magufr. Misuko sko iko mahar popote ht majumban tunapoishi.
 
Mie sifahamu hawa UKAWA Wana akili gani; does it make sense that you really want to bring changes via CCM Comrades? Same wife in a different bottle?

Same wife in a different bottle? Jamani huu mradi wa BRN nadhani Lowassa akiingia ikulu auangalie upya. Maana hicho kiinglishi kimetia fora
 
Unashangaa mgogoro ukawa,ila hushangai Job Ndugai alivyomtandika mtu stick za kichwa.

Nashangaa ndio kwa watu wanaosema kwamba wamejipanga kuchukua nchi lakini bado hawajawa kitu kimoja mpaka sasa

Kumbuka hatutafuti kiongozi au mwakilishi wa Vyama au chama kwenye majimbo!tunatafuta mbunge na mwakilishi wa wananchi woote bila kujali itikadi za vyama

Mmeshindwa kumaliza migogoro ndani ya Muungano wenu mapema namna hii kabla hata hamjapewa ridhaa ya kuongoza taifa hili,je mkipewa?!si kila mtu atataka kuwa waziri huko mbele?!
 
Kiukweli UKAWA haijajipanga kuchukua nchi,kuanzia mfumo wao wa majimbo maana mpaka sasa wana mgogoro wa majimbo kati ya CUF,CHADEMA,NCCR

Naziona Siasa za Madaraka(Political for Power) katika Ukawa,kila chama kinataka kisimamishe mgombea wao na kusahau kama wameungana,siku njema huonekana asubuhi hii hali walioanza nayo ukawa ndiyo itakavyokuwa mbele ya safari endapo watafanikiwa kuchukua nchi(Ahahaaaaaaa)

Tunataka Siasa za maendeleo na sio siasa za Utawala na kuigawana Tanzania utafikiri haina wenyewe
Kama umemsikia mbowe alivyoongea leo, hakuna kitu ukawa tena.
 
Back
Top Bottom