Uko ndo mwisho wa reli kuna rafiki yangu anatokea uko anasemaga kuwa yeye ni Mtanganyika bse Tanzania hawaitambui bse mambo yao mengi ni kama enzi za Tanganyika ie huduma za jamiii shida,roads za mkoloni,kwenda uko ni kwa treni
ni ajabu wadau mliofika mjini {posta] je kuna bango linaloonesha chuo kikuu cha dodoma na ujumbe wa chuo kikuu cha dodoma fahali ya tanzania chagua ccm tunaomba kujua kile chuo ni cha watanzania au ni cha ccmaaaaaaa/
Lo!
Hivi sasa serikalini hali ni ngumu. Wizara zinalia hamna pesa. Swali pesa zimeenda wapi? Jibu kwenye kampeni za CCM. Baada ya EPA mwaka huu tujiandae kupata jina jingine walilotumia CCM kuiba pesa za walipa kodi na kuzitumia kwenye kampeni zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.