Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
JOEL NANAUKA ALIONA ISIWE TABU
Waziri wa vijana, Mhe. Joel Nanauka aliwahi kugombea ubunge wa Jimbo la mtwara Mjini mwaka 2015 kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo [Chadema] lakini aligonga mwamba akaona isiwe tabu mwaka huu 2025 ameshinda kupitia chama cha Mapinduzi [CCM].
Na hii ikupe picha kuwa CHADEMA ina mawazo na maono mazuri sana kwa taifa ambayo yanaweza kuwashawishi watu wengi sana ambao leo hii CCM inatamba nao, CHADEMA ndio chama pekee ambacho kilikuwa kinamiliki vichwa vya kwenda na watu wenye zao. Usisahau ya kuwa Profesa Kitila Mkumbo kabla ya kuwa ACT wazalendo alikuwa mwana CHADEMA lakini sasahivi yuko CCM
Uhalisia ni kwamba CCM haina chochote zaidi ya dola, hawana ushawishi, mawazo yao yameshapitwa na wakati ndio utaona inatumia nguvu ya dola kuwavuta watu na sio ushawishi na siasa safi. Mimi sio nabii ila siku CCM ikang'oka madarakani hata kwa mara moja, nawaambia hivi leo haitarudi tena na ndio utakuwa mwisho wake
Waziri wa vijana, Mhe. Joel Nanauka aliwahi kugombea ubunge wa Jimbo la mtwara Mjini mwaka 2015 kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo [Chadema] lakini aligonga mwamba akaona isiwe tabu mwaka huu 2025 ameshinda kupitia chama cha Mapinduzi [CCM].
Na hii ikupe picha kuwa CHADEMA ina mawazo na maono mazuri sana kwa taifa ambayo yanaweza kuwashawishi watu wengi sana ambao leo hii CCM inatamba nao, CHADEMA ndio chama pekee ambacho kilikuwa kinamiliki vichwa vya kwenda na watu wenye zao. Usisahau ya kuwa Profesa Kitila Mkumbo kabla ya kuwa ACT wazalendo alikuwa mwana CHADEMA lakini sasahivi yuko CCM
Uhalisia ni kwamba CCM haina chochote zaidi ya dola, hawana ushawishi, mawazo yao yameshapitwa na wakati ndio utaona inatumia nguvu ya dola kuwavuta watu na sio ushawishi na siasa safi. Mimi sio nabii ila siku CCM ikang'oka madarakani hata kwa mara moja, nawaambia hivi leo haitarudi tena na ndio utakuwa mwisho wake