mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Kama sijakosea Rais Mstaafu Awamu ya 4 ndiye aliyeanzisha mchakato wa kupata Katiba Mpya.
Ilani ya CCM ya 2015/2020 ilitamka kuendeleza Mchakato. Leo ni 2020 hatujaona huo mchakato kuendelea.
Je, ni sahihi kusema CCM inaiogopa Katiba Mpya, mchakato ulioanzishwa na Mwenyekiti wake Mstaafu?
Tunaomba tujibiwe kwani tutaliuliza wakati wa kampeni.
Ilani ya CCM ya 2015/2020 ilitamka kuendeleza Mchakato. Leo ni 2020 hatujaona huo mchakato kuendelea.
Je, ni sahihi kusema CCM inaiogopa Katiba Mpya, mchakato ulioanzishwa na Mwenyekiti wake Mstaafu?
Tunaomba tujibiwe kwani tutaliuliza wakati wa kampeni.