FENtastic JF-Expert Member Joined Aug 4, 2015 Posts 6,780 Reaction score 10,553 Dec 5, 2017 #41 Ivi gari ambayo imeshang'oka tair za mbele na kibahati ikayumba kidogo na kupoteza njia, tutegemee tena safari apo?
Ivi gari ambayo imeshang'oka tair za mbele na kibahati ikayumba kidogo na kupoteza njia, tutegemee tena safari apo?
K kikizo20 Member Joined Jun 9, 2017 Posts 83 Reaction score 50 Dec 5, 2017 #42 Ki Mun said: CC. Engineer Dokta wa Madokta, simba asiyefugika H.Excellency John Pombe Magufuli View attachment 643792 Click to expand... Expansion joint
Ki Mun said: CC. Engineer Dokta wa Madokta, simba asiyefugika H.Excellency John Pombe Magufuli View attachment 643792 Click to expand... Expansion joint
Mystery JF-Expert Member Joined Mar 8, 2012 Posts 15,842 Reaction score 31,073 Dec 5, 2017 Thread starter #43 Sam bm said: Unaota Click to expand... Heri Mimi ninayeota, kuliko wewe CCM unayefikiri utaweza kuua upinzani kwa "pyupyu"
Sam bm said: Unaota Click to expand... Heri Mimi ninayeota, kuliko wewe CCM unayefikiri utaweza kuua upinzani kwa "pyupyu"
VAPS JF-Expert Member Joined Jul 10, 2012 Posts 5,611 Reaction score 13,174 Dec 5, 2017 #44 Ili maandiko yatimie hayana budi haya kutokea. Mbinu ovu na hatarishi kwa umoja wa wa taifa.Daima chuya hutegwa na mchele/ wali wakati muafaka.
Ili maandiko yatimie hayana budi haya kutokea. Mbinu ovu na hatarishi kwa umoja wa wa taifa.Daima chuya hutegwa na mchele/ wali wakati muafaka.
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,455 Reaction score 45,030 Dec 5, 2017 #45 Dalili za adui yako kuchoka ni yeye kuanza kutumia kila aina ya nyezo kukudhibiti, Tyson alimuuma sikio Evader baada ya kuona ngoma ni nzito.
Dalili za adui yako kuchoka ni yeye kuanza kutumia kila aina ya nyezo kukudhibiti, Tyson alimuuma sikio Evader baada ya kuona ngoma ni nzito.