Umati uliojitikeza ktk jiji la Mby ni ishara nyingine tosha kwa watani zetu CCM kukubali yaishe. Ni kukimbiwa na makada wake ni kielelezo tu cha kukubali matokeo. Mwaka 2015 si 1995 kwani ukawa wana mtandao ambao hauwezi kulinganishwa hata kidogo na enzi hizo. 2015 Vijana wameamka wana vichinjio na wanataka mabadiliko. Vile vile kijijini Elimu ya uraia imepita hakuna anayetishwa tena na CCM au Serikali yake, wanatambua kuwa ukawa ndo mambo yote na ndio mkombozi wa matatizo yao.
Ahadi hewa za CCM za maisha bora kwa kila mtanzania ndilo kaburi lao walilojichimbia wao wenyewe, watazikwa humo Pasipo shaka.
Peopleooooooooooooz. Wasiotaka wajinyonge.
Ahadi hewa za CCM za maisha bora kwa kila mtanzania ndilo kaburi lao walilojichimbia wao wenyewe, watazikwa humo Pasipo shaka.
Peopleooooooooooooz. Wasiotaka wajinyonge.