CCM Ina Wenyewe!

Kanuni ya asili hii, mtoto wa nyoka ni nyoka. Mtoto akiandaliwa mapema, na kuanza kujifunza kwa vitendo na kukulia maisha ya kiuongozi, ama kwa hakika atakuja kuwa kiongozi mahiri sana siku za mbeleni.

Remember that leaders are born and made.
 
Inamaana siku hizi Vyama vya Siasa vina Academy ? πŸ˜‚ Africa kuna upuuzi sana Sexless Unawashauri nin hao watoto ?
Ushauri nautoa kwa wazazi walala hoi na watoto wao kwamba tuunde Hamas ya kitanzania (Kikundi cha wapinga ccm). Ili tuwaondoe kwenye mrija hawa wanaofaidi mpaka wanataka kuwarithisha mirija watoto wao
 
Wanakula kulingana na urefu wa kamba zao, wengine wamekata kamba kabisa wanakula hadi nyasi za wanyonge
Ni halali yao, nchi imejaa watu wenye akili sawa na Lucas Mwashambwa, kwanini akina Mwigulu wasiwatumie kuwarithisha watoto wao madaraka? Watumia ujinga wa watu kuendelea kuwepo madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…