Ndo mnaweza kuona ccm ilivyo akili za ajabu, ukweli wa mambo hao watoto mpaka sasa hawajawa akili kwamba kesho wawe wanasiasa ni utashi wa wazazi wao tu,
Na kama taifa mnaweza kuona ccm inavyolipeleka papaya, kwamba tumeona siasa ndo mpago mzima ,bila kufikiri taifa bado linaitaji wataalam , thinkers tuendako
Acheni watoto wapigeshule siasa mda ukifika wakataka watajoin