Mkuu,hapo ndo kuna mashaka makubwa,Hesabu ya Mh Jaffo inaweza kuwa na ukakasi kutokana na hali halisi tunayoiona....kamahesabu zake ni za kweli.
Polepole hua mara nyingi anasema ccm ina wanachama milioni 15 ambao wako hai.
Takwimu za NEC za mwaka 2015 waliojiandikisha walikua milioni 21 hivi na wakapiga kura watu milioni 15.
Wakijiandikisha wanaccm pekee wanafika 100% ya waliopiga kura 2015, ya nini kulazimisha wengine wajiandikishe na kutishia kufuta vijiji wakati ccm wenyewe wakijiandikisha wanatosha?
Ccm jiandikisheni, mpigiane kura wenyewe mpate ushindi wa 100%, ushindi wa kishindo. Msilazimishe wengine kujiandikisha.
Polepole hua mara nyingi anasema ccm ina wanachama milioni 15 ambao wako hai.
Takwimu za NEC za mwaka 2015 waliojiandikisha walikua milioni 21 hivi na wakapiga kura watu milioni 15.
Wakijiandikisha wanaccm pekee wanafika 100% ya waliopiga kura 2015, ya nini kulazimisha wengine wajiandikishe na kutishia kufuta vijiji wakati ccm wenyewe wakijiandikisha wanatosha?
Ccm jiandikisheni, mpigiane kura wenyewe mpate ushindi wa 100%, ushindi wa kishindo. Msilazimishe wengine kujiandikisha.