Raia Mtata
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 315
- 592
Habari wanajamvi,
Katika Taarifa iliyotoka jana kuna taasisi moja walitoa majumuisho ya Uchaguzi 2020, na Takwimu yao wamesema watanzania waliojiandikisha katika daftari ni milioni 29 na waliopiga kura ni milioni 15 tu hii ina maana gani?
Wao wenyewe wamesema watanzania wengi wameogopa kwenda vituoni kwa kuogopa polisi ila hii ni sababu dhaifu sana.
Mimi kwa muono wangu hawa watakuwa ni wafuasi wa upinzani tu, wamesusia kwenda kupiga kura kwa sababu wamekatishwa tamaa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019.
Swali langu, kama wote hawa wangempigia kura Lissu hamuoni kwamba Dkt. Magufuli tungemuacha kwa mbali? Hata kama wangeiba wangefika sehemu aibu ingewashika.
Katika Taarifa iliyotoka jana kuna taasisi moja walitoa majumuisho ya Uchaguzi 2020, na Takwimu yao wamesema watanzania waliojiandikisha katika daftari ni milioni 29 na waliopiga kura ni milioni 15 tu hii ina maana gani?
Wao wenyewe wamesema watanzania wengi wameogopa kwenda vituoni kwa kuogopa polisi ila hii ni sababu dhaifu sana.
Mimi kwa muono wangu hawa watakuwa ni wafuasi wa upinzani tu, wamesusia kwenda kupiga kura kwa sababu wamekatishwa tamaa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019.
Swali langu, kama wote hawa wangempigia kura Lissu hamuoni kwamba Dkt. Magufuli tungemuacha kwa mbali? Hata kama wangeiba wangefika sehemu aibu ingewashika.