CCM imekuwa mali ya mtu?

Acha kuishi kwa mazoea mlizoea kupiga kampeni ili baadae mugawane vyeo sasa hili lishaakufa wee kama huna kazi na ulitegemea uishi kijanjajanja ujipange
Mku mm ni Mmwera asili ya wazazi wangu Lindi kijijini Namupa na ukoo wa Majenea hii wazazi wangu. Kwa hiyo Mimi kama Mimi Mwanakijiji wa Mkinga ambapo nilijiunga tangu mwaka 2010.Ila Wachaga ni Shemeji zangu huko Kibosho Umbwe Kijijini cha Kombo kwa hiyo sio kila mtu ni Mchaga baada kuona ana hoja
 

Jamani wengine hatujui kilichowapata akina vicky si tuliona wamejiuzur tu. Nin tatizo lilikua
 
Jamani wengine hatujui kilichowapata akina vicky si tuliona wamejiuzur tu. Nin tatizo lilikua
Dr Kafumu alikuwa ni mwenyekiti na Vicky alikuwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Nishati na madini. Wakiwa ktk ziara ktk mkoa wa Arusha walipanga kwenda kumuona mbunge mwenzao na mjumbe wa kamati hiyo ndg Godbless Lema alipokuwa gerezani Kisongo.

Bahati mbaya sana ratiba iliwabana, hawakufanikiwa kwenda mpk ziara yao ilipomalizika mkoani humo. Habari hizi za mipango ya kwenda kumuona Lema gerezani (japo haikufanikiwa) zilipomfikia mtukufu aligeuka mbogo ba kuwataka wajiondoe wenyewe kwenye nafasi ya uenyekiti na umakamu mwenyekiti, vinginevyo hatua kali zaidi zingechukuliwa.
 
WanaCCM hawakuonyesha kukerwa wakati nchi inapora na mafisadi, watumishi hewa, mikata mibovu ya madini, safari nyingi za viongozi nje ya nchi, uuzwaji wa nyumba na mashirika ya umma, wizi was EPA, Escrow, Richmond, IPTL,.... Mliimba iyenaiyena mwanzo mwisho. Kwa tabia ya wanaCCM isingeshinda 2015 kama sio sifa binafsi za Magufuli, ndio maana ikaitwa serikali ya magufuli maana wananchi waliichoka serikali ileee ya CCM inayokumbatia wapiga dili na isiyokusanya kodi.

Upon hapo!!!
 
Kivipi hapo sasa
 
Mitano tena ikiwezekana na milele ! Jiwe shikilia hapo hapo dawa imeshaanza kufanya kazi sasa hata viunga vya Lumumba....[emoji3]
 
Aisee!
 
Saiv tunazo nyimbo za taifa 2
Mosi ule wa taifa na pili
Ule wa kumtukuza bwana mkubwa.

Au nasema uongo ndugu zangu😐😐
 
CCM imeshatangulia mbele za haki kilichobakia ni Tume na Mitutu ya Polisi
nakubaliana na wewe, ccm ni kama haipo, kuna serikali ya awamu ya tano. ccm tunayoifahamu inaabudu wafanyabiashara. Wafanyabiashara bila kujali aina ya biashara ndio waliokuwa wakigharamia uendeshaji wa chama hasa nyakati za uchaguzi na kujilipa hela zao baada ya uchaguzi kwa kufanya biashara yoyote bila kulipa kodi stahiki. Mh. Sumaye alishawaambiaga wafanyabiashara wabaki ccm kama wanataka biashara zao zisibughudhiwe
 

kwan cheo anapewa alienda msituni ama mwenye weledi? we kama ulikua unasubiria cheo kisa uliingia msituni endelea kusubiria sana au vyema rudi msituni kabisa
 
Tatizo ni kibuyu cha kijani mmekosea masharti yake ndiyo kinawala, pole anyway
 
CCM imeshabinafisiswa !! Ina mwekezaji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…