Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Huyu mama ni kilaza balaa. Leo katumia muda mwingi kuponda UDOM. Amedhihirisha ukweli kuwa CCM inawezekana waangalia sifa ya ukilaza katika kugawiana nafasi za utawala hasa hawa viti maalum.
Kaponda sana maandamano kuwa yanasababishwa na UDOM. Kasema upuuzi mwingi na anaendelea sasa kilaza mwingine anayewasilisha kuwa TZ haiwezi kuendelea kutokana na madini yake. Ni hatari. Tena huyu ni Dr.
Kaponda sana maandamano kuwa yanasababishwa na UDOM. Kasema upuuzi mwingi na anaendelea sasa kilaza mwingine anayewasilisha kuwa TZ haiwezi kuendelea kutokana na madini yake. Ni hatari. Tena huyu ni Dr.