Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
CCM leo inatimiza miaka 36 baada ya kuzaliwa tar 5.2.2013.
Ninajiuliza ni hofu gani iliyokishika chama kilichokwisha kuvunja ungo kuogopa kufikisha siku ya kuzaliwa.
Wadau na wanaCCM naombeni mnisaidie hapa.
Ninajiuliza ni hofu gani iliyokishika chama kilichokwisha kuvunja ungo kuogopa kufikisha siku ya kuzaliwa.
Wadau na wanaCCM naombeni mnisaidie hapa.