Hivi ulikuwa ni uchaguzi wa meya wa wilaya ya ilala au makunduchi?hao watu wana akili kweli?kabla ya kumshitaki huyo mkurugenzi wamshitaki kwanza simbachaweneHayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa wilaya hiyo Mh Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi .
amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.
Akiendelea kufunguka zaidi Mh Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya zanzibar .
Tunakuomba Mh Asaa Simba uje ujibu hii .
Hao wabunge wa Zanzibar katika uchaguzi upi? au ule uliofutwa na JECHA?
Mkuu umenena ukweli mtupuKosa Kubwa walilolifanya CCM ni kumuacha Isaya Mgulumi asimamie uchaguzi huo,walipaswa wamwite jecha aje asimamie huo uchaguzi,ccm chini ya jecha hakuna kushindwa,ni ushindi tu,wakishindwa uchaguzi unafutwa na matokeo yake yote.
Tukisema kuwa mwanachama wa ccm unapaswa uwe Taahira watu wanabisha,sasa wabunge wa Zanzibar wanaingiaje katika Halmashauri za Dar?Ni aibu na fedheha sana kujiita mwanaccm mbele ya jamii ya wastaarabu,aibu sana.Halafu watu wakisema Ukweli Nape anakimbilia kufungia Gazeti na Policcm wanakutafuta wakuweke korokoroni.
Sasa kama umeya unawatoa roho,mtatuaminisha vipi kuwa Magufuli ni mshindi halali wa Urais?Ni vigumu kwa Mwenye akili timamu kuiamini NECCCM eti ilikuwa huru na aliyetangazwa ni mshindi halali.
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa wilaya hiyo Mh Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi .
amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.
Akiendelea kufunguka zaidi Mh Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya zanzibar .
Hiyo ndiyo serikali yetu sikivusasa usije kushangaa kusikia Mngurumi kahamishwa .
Sababu:Kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalumu wa Zanzibar.?????? Kupiga Kura Umeya ILALA???
lakini si chotaraHuyu ASAA SIMBA , kiuhalisia ni mpemba, alafu hata form four hakufika, napata taabu leo hii kusikia ni mwenyekiti wa CCM katika kundi hilo.
ili hali mtaa wake wa vinginguti ni majanga katika usafi.
ulisimamiwa na nani ? na je kulikuwa na vyumba tofauti vilivyotumika kati ya wa muungano na wa zanzibar ? na je kulikuwa na wapiga kura tofauti kati ya wale wa kura za zanzibar na wale wa Muungano ?Kwa uchaguzi wa Muungano au unajifanya uelewi?
Jecha alifuta matokeo ya uchaguzi Wa Zanzibar tu.
Mkuu si afadhali ahamishwe, unaweza kusikia anarudishwa wizarani na atapangiwa kazi nyingine, baadaye unasikia ametukanana na viongozi wake wizarani na amefukuzwa kazi, wanamFaizalize na kuMulongolizesasa usije kushangaa kusikia Mngurumi kahamishwa .
Najibu maswali yako kama ifuatavyoulisimamiwa na nani ? na je kulikuwa na vyumba tofauti vilivyotumika kati ya wa muungano na wa zanzibar ? na je kulikuwa na wapiga kura tofauti kati ya wale wa kura za zanzibar na wale wa Muungano ?
kulikuwa kuna magumashi ya kufa mtu jimbo la mbagala , kesi iko mahakamani .hivi halmashauri ya temeke tumeikosaje wadau
ushahidi wa unachokiandika hata jecha ameshindwa kuthibitisha mpaka dk hii , hii ni propaganda iliyofeli kabla haijasambaa .Najibu maswali yako kama ifuatavyo
1: ulisimamiwa na NEC chini judge Lubuva.
2: kuepusha usumbufu vyumba vilivyotumika vilikuwa sawa isipokuwa mawakala pamoja na masanduku yalikuwa tofauti kabisa. Wa NEC huku wa ZEC kule.
3: wapiga kura ni walewale ila theme zilikuwa mbili tofauti kabisa.
i. Rais wa Muungano "Tanzania"
na wabunge wake.
ii. Rais wa Zanzibar na wajumbe
wa baraza la wawakilishi.
NB: kwa kuzingatia kipengele Namba 3 hapo juu, haiwezekani wapiga kura walewale kwa idadi lkn upande mmoja uwe sawa kitakwimu afu upande mwingine wazidi idadi iliyoandikishwa.
Hackers completed their mission but at last minute was aborted.
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.
Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.
Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.
Tusubiri jibu,lakini na mashaka kuwa kama itawezekana maana huko chamani ndio wamejaa magwiji watupu.Mshana mie nina ombi binafsi.....hamna kitu naweza nikakifanya hiki chama kipotee???! Kupitia yale mambo yetu yaleeeeeππππ
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.
Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.
Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.