CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa, ushahidi michango mikubwa waliyochangia

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa, ushahidi michango mikubwa waliyochangia

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
9,939
Reaction score
15,943
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa
 
CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini
 
Ukweli unaujua, wafanyabiashara wakubwa wanaenda na upepo. Chama tawala wanatembea nacho kwa maslahi ya biashara zao.

Kifupi tu ni muendelezo wa unafiki wa mtu mweusi.
 
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa

Mnapoambiwa serikali imepigwa photocopy muwe mnaelelewa.

Hizo ni pesa wanaziyolea mkono huu wanazichukua kwa mkono mwingine.

Waulize TRA hao watu kama kodi zao zinalingana na hiyo michango yao. Ukipata jibu rudi uandike huo uharo wako.
 
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa
Mikataba mibovu ya madini,bandari,ukwepaji Kodi......
 
H
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa
Hao matajiri wafanya biashara unadhani wanatoa tu pesa zao bule bule?

Kama nchi tunahasara kubwa sana kwa vijana ambao hawawezi kung'amua mambo madogo madogo kama haya ambayo ni hasara kubwa kwa nchi yetu
 
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa
Copy of CCM BANNERS OFFICIAL _20250813_072600_0000.png
 
H

Hao matajiri wafanya biashara unadhani wanatoa tu pesa zao bule bule?

Kama nchi tunahasara kubwa sana kwa vijana ambao hawawezi kung'amua mambo madogo madogo kama haya ambayo ni hasara kubwa kwa nchi yetu
Hao ndio waajiri wewe
Wanaajiri mamilioni ya watanzania
 
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa
Umerogwa ila ukiwahi tiba unaweza kupona
 
CCM imewapa Nafasi Matajiri Wanunue Wapiga Kura Kama Hiyo GULAMALI Kaenda Kununua Wanyaturu Wa Singida Vijijini kawahonga Elfu hamsini hamsini
Nyakati za Magufuli Hukuti mtu wa Namna hiyo anapewa Nafasi Pamoja na Hela zake
 
Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali
Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali

CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi tosha kuwa wanaridhika na sera za biashara na uwekezaji mkubwa nchini

Piani ushahidi wa wao kuunga mkono kuwa uchaguzi october uwepo na kampeni watashiriki na october wanatiki mitano tena kwa Mama na CCM

Malofa Mnaosema No election imekula kwenu .Matajiri wakubwa wanasema election ipo

Na ndivyo inavyotakiwa
Na taarifa zao za TRA zipo sambamba na michango Yao?
 
Back
Top Bottom