punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
@ zamwamwa:
Ndugu, huyo mwigulu unayemtetea simjui, ila naomba kukuuliza Slaa amekujaje kwenye post hii?! Kansa ya mkojo imekujaje hapa?! Na kwa kumfahamu sana huyo mwigulu unaweza kutwambia hapa amewahi kuwa mgonjwa mara ngapi na utaje aina zote za magonjwa aliyowahi kuugua??! Unashauri tuwapende watu kwa sababu ni vijana na tuwachukie wengine kwa sababu ni wazee!! Unaongeleaje chuki wakati hii post yako imejaa chuki iliyopitiliza?!
Ndugu, huyo mwigulu unayemtetea simjui, ila naomba kukuuliza Slaa amekujaje kwenye post hii?! Kansa ya mkojo imekujaje hapa?! Na kwa kumfahamu sana huyo mwigulu unaweza kutwambia hapa amewahi kuwa mgonjwa mara ngapi na utaje aina zote za magonjwa aliyowahi kuugua??! Unashauri tuwapende watu kwa sababu ni vijana na tuwachukie wengine kwa sababu ni wazee!! Unaongeleaje chuki wakati hii post yako imejaa chuki iliyopitiliza?!