Mambo yamebadilika, dunia imebadilika karne hii tuliyopo ni karne ya teknolojia na mabadiliko, watu wengi hivi sasa ni waelewa, teknolojia imerahisisha upatikanaji wa habari hasa zile habari ngumu, kuishi katika zama za uchawa na upotoshaji hakutaisaidia CCM sanasana itaipeleka shimoni.
Ni wazi...