Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
- Thread starter
-
- #41
Umejiuliza kwa nini pesa zake hazimwagi kwa vikundi vya vijana, au wakina mama wajasiriamali, au vijijini ku promote kilimo, au kwenye nyumba za kutunza wasiojiweza?Kweli basi Lowassa ni mdini, manake kaichangia misikiti mingi tu. Angalia post yangu nyingine
Acheni wivu wa kike na kunung'unika kama mmevunja ungo juzi, Lowassa ni Mkristo, ushiriki wake kanisani unawauma wapi? Oilcom anavyowajengea misikiti yake ile asiyoruhusu wanawake kuingia, kuna mtu amehoji kwa nini? Haya.......
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akikabidhi msaada wa
Tshs milioni 5 kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Misikiti Tanzania (BAMITA) SHeikh Salum Sung'he kwa
ajili ya kuendeleza mipango kazi ya BAMITA.
(Unaona Sheikh alivyoinama kwa adabu?)
Katibu Mkuu wa BAMITA akizungumza na waandishi wa habari akimshukuru Mh. Lowassa
(Bila shaka kamsifia pia)
Lowassa huyu ndio unayemzungumzia?
Lowassa ndani ya RED CARPET, nafikiri unaona aina ya watu waliopanga mistari ili tu kupata fursa ya kushikana mkono na Mheshimiwa Noti. Wengine wanaandaa simu zao wapate picha ya mheshimiwa. Wake upande huu, waume zao upande huu. Watoto watakuwa nje.....mbona raha!
Huyu ni Askofu?
Wahasibu wetu hao......tunawaamini.
Hata Redio yetu, Radio Imaan....nayo imechangiwa!
Mheshimiwa huwa hagawi tende jamani hizo ni ANKRA
Edward 'Maestro' Lowassa....cheka naye maisha yabadilike.
Akwiiiii! Muru ingine nasaniaga masai hafui kandambuga.....haba ago peku nafanya ibada
Wanaosema wewe sio ndugu yetu wana lao jambo.
NOTE: Tuache wivu wa kike, majungu na roho za manung'uniko. Hata Kinana anagawa fedha kila anapopita, tofauti ni kwamba Lowassa anataka mumrudie Allah na Jehova ilhali Kinana anawapeni mkanywe pombe.
Ni dhahiri kwamba, Lowassa anatoa fedha penye miradi ya maendeleo na si kwamba anazigawa tu watu wakanywe viroba. Kasi yenu ya shughuli za maendeleo ndio ita-determine kiasi gani mtapata kutoka kwa Mheshimiwa.
Lowassa Hoyeeeeee!
Edwars Ngoyai 'Maestro' Lowassa
kamua baba misikiti ing'ae
Umejiuliza kwa nini pesa zake hazimwagi kwa vikundi vya vijana, au wakina mama wajasiriamali, au kwenye nyumba za kutunza wasiojiweza?Jamani pesa kweli inatafutwa..Huu si usanii kabisa!!!
kwangu mimi hii ni HARAM..
Watu wanachezea nyumba za ibada..Laana inakuja..
Umejiuliza kwa nini pesa zake hazimwagi kwa vikundi vya vijana, au wakina mama wajasiriamali, au kwenye nyumba za kutunza wasiojiweza?
Hao si wahitaji?
Kwa nini asisaidie shule zilizojengwa na serikali vifaa vya maabara na vitabu?
Kwa nini asisaidie mashine za X ray au vifaa vingine kwenye hospitali zetu za serikali ambazo zinadorora kwa kukosa vifaa hivyo?
Kwa nini kwenye vikundi vya dini (wakristo kwa waislamu)?
Jamani pesa kweli inatafutwa..Huu si usanii kabisa!!!
kwangu mimi hii ni HARAM..
Watu wanachezea nyumba za ibada..Laana inakuja..
Ungekuwa fair ungeweka na alizochangisha miskitini.
mbona misikiti kamwaga sana mpunga...mpaka kule mwanza akasifiwa sana katika harambee ya kuchangia uanzishwaji wa redio ya kiislamu.........mheshimiwa edward lowassa, watu wanakutaja sana kuwa una nia ya kugombea urais.
Wakati huo huo unasikika ukihaha kila kona ya tanzania ukitembelea makanisa na misikiti mbalimbali na kutoa misaada mikubwa mikubwa kwa mahitaji mbali mbali ya makanisa na misikiti hiyo kama ambavyo umeripotiwa na vyombo vya habari hapa chini:
kanisa lamuandalia tuzo lowassa
filikunjombe, ligola wajitosa kambi ya lowassa, wamnadi kanisani iringa. | dullonet tanzania
mzee wa mshitu: Lowassa ashiriki harambee ya kanisa akyeri meru
mbeya yetu: Lowassa achangia milioni 10 kanisa la eagt tunduma mbeya
lowassa ajiweka mbali na kampeni arumeru,ajikita kanisani..
msamaa.
lowassa amwagia fedha kanisani ~ mwanafasihi mahiri
lowassa kuongoza harambee ya kanisa nyakato mwanza | fikra pevu | kisima cha busara!
mh. Lowassa aongoza harambee ya kununua basi la kwaya la kanisa la kkkt,msasani jijini dar ~ father kidevu
waziri mkuu awamu ya nne achangisha sh100 kanisani dar es salaam. ~ juma mtanda
habarimpya.com - kanisa lazidi kumtumia lowassa katika harambee
lowassa aendesha harambee kanisa la moravian mbezi beach dar | blog ya habari tanzania | online newspaper | thehabari.com
misikitini nako:
Kutokana na haya ninapata maswali yafuatayo:
1. Je mh. Lowassa, unatarajia kulipwa kura na wakristo hao ambao unawasaidia kwa vihela hivyo?
2. Je huu si udini kwa kiongozi anayetarajia kugombea urais kutumia nyumba za ibada kupata umaarufu wa kisiasa?
3. Je haya yangefanywa na mwanasiasa asiye wa chama tawala ingezua mjadala gani?
Let us call a spade a spade. Kama ni udini tuuite udini bila kujali mtu huyo ni wa chama gani.
hii ni dhambi ya kisiasa mkuu, haina uhusiano na dini. Hoja nzuri, ila imeegemea kusiko!!watu hawako huru kufikiri kitu kikiwagusa hawako kukubali ukweli ndio huo ni udin unafikir watashindwa kulipa fadhira na MoU ilisaniwa chini yake siwez kushangaa leo akiwaongezea za kwake
swali langu hujajibu. kwa kutoweka michango ambayo mtu huyohuyo amefanya misikitini unataka kuleta picha gani? what's your motive kwa kuweka link hizi zingine ukitia kapuni?Umejiuliza kwa nini pesa zake hazimwagi kwa vikundi vya vijana, au wakina mama wajasiriamali, au kwenye nyumba za kutunza wasiojiweza? Hao si wahitaji? Kwa nini kwenye vikundi vya dini (wakristo kwa waislamu)?
Think big!
Kwa nini hatusikii anasaidia hospitali za serikali zenye uhaba wa vifaa?swali langu hujajibu. kwa kutoweka michango ambayo mtu huyohuyo amefanya misikitini unataka kuleta picha gani? what's your motive kwa kuweka link hizi zingine ukitia kapuni?
by the way naona mtego wako umenasa wengi kati ya uliowakusudia ila ujue ufanyalo ni dhambi!
Na hiyo pia nimehoji, rudi kwenye hoja yangu juu utaona.mbona misikiti kamwaga sana mpunga...mpaka kule mwanza akasifiwa sana katika harambee ya kuchangia uanzishwaji wa redio ya kiislamu.........
Michango ya msikitini nimeitaja pia.swali langu hujajibu. kwa kutoweka michango ambayo mtu huyohuyo amefanya misikitini unataka kuleta picha gani? what's your motive kwa kuweka link hizi zingine ukitia kapuni?
by the way naona mtego wako umenasa wengi kati ya uliowakusudia ila ujue ufanyalo ni dhambi!
Acha umburura,siyo misikitini sema msikitini,only msikiti mmoja,tena wa Bakwata,wazee wa kuhujumu uislam, bt angalia makanisa yalivyokuwa mengi.Mwambieni Lowasa toka awali tumeshamjua kuwa ni mdini,na aendelee kuwa hivyo,kura za kanisani pekee zinaosha kumwingiza ikulu asiwe na wasiwasi. Na bora aendelee huko huko kama mi mwongo aende mtambani,au kichangani au kwa mtoro,au idrisa,au tungi nk aone habari yake.Nafikiri hujafanya uchunguzi wa kutosha,Lowasa kamwaga fedha hadi misikitini na waislam wakamvalisha kanzu na kilemba..
Hii hoja haiwezi kujibiwa.Kwa nini hatusikii anasaidia hospitali za serikali zenye uhaba wa vifaa?
Kwa nini hatusikii anasaidia shule za serikali maabara, ukarabati n.k.?
Kwa nini hasaidii shughuli za kiuchumi za vikundi vya wasiojiweza?
Kwa nini iwe kanisani na misikitini?
angefanya lipumba wangeongea mpaka wanajamba