Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Mgombea udiwani wa CCM kata ya Kirumba jijini Mwanza bwana Jackson Robert ameomba kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea katika kikao cha siri kilichofanyika juzi La Kairo Hotel.Hali hii imesababishwa na CDM kuendelea kukubalika jijini Mwanza huku kukiwa na dalili zote za kata hiyo kurudi tena mikononi mwa CDM kama ilivyokuwa 2010 kabla diwani NOVATUS MANOKO(CHADEMA) kufariki mwaka jana.Uongozi wa CCM mkoa ulikataa ombi lake.
Source:Makamanda waliojipenyeza kikaoni juzi.
Source:Makamanda waliojipenyeza kikaoni juzi.