Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 180
Kwa hali ilivyo katika chama tawala CCM(chama cha mafisadi)Hambacho hatima yake ni mwaka 2015 na inawezekana kabla ya hapo hata kitumie mbinu zipi ni vigumu kubaki madarakani hata kiushawishi uongozi wote wa CHADEMA kujiunga na CCM,kichukue pesa zote za banki kuu,pesa zote za bajeti n.k.KUBAKI MADARAKANI HAIWEZEKANI!Ushauri wangu wa bure badala ya kujikita katika mbinu chafu za kutaka kubaki madarakani na kupandikiza na kutumia mbinu chafu ili waendelee kubaki madarakani udini,ukabila,ugaidi n.k ambapo matokeo au matunda yake tumeanza kuyaona.Milipuko ya mabomu,mauaji ya watu wasio na hatia,uchomaji wa makanisa,mauaji ya viongozi wa dini,mabomu ya machozi kila kukicha (Yamekua kama moshi wa sigara au yanatumika kana kwamba serikali imetoa maagizo kwa askari kuyatumia kaba expering date ili watoe nafasi kwenye magala kwa ajili ya mabomu mapya-amabao ni mradi)Ni bora katika kipindi kilichobaki wakajikita kutatua kero za wananchi na kutuachia nchi yetu katika hali ya amani na sio "KAMA KUKOSA TUKOSE WOTE"MUNGU IBARIKI TANZANIA.