YAHAYAMOHAMED1970
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 229
- 96
M/kiti amechanganyikiwa, katibu amevurugwa,katibu mwenezi hajielewi, Wabunge wamevurugwa, madiwani hawajielewi wanachama wamevurugwa na pombe Kali inayoitwa lowasa
nilivyoona title nikajua topic imeanzishwa na mkilimanjaro na imekuwa kweli. yakhe nyie waarusha na wakilimanjaro na umoja wenu wa ukawa ndo mmechanganyikiwa, mwafikiri kwa vile mmetapakaa nchi nzima ntalazimisha mtu wenu mchafu awe rais mkaudumishe mfumo kaskazini(zamani ukiitwa mfumo kristo). mtajidanganya sana.
huo ubaguzi wenu wa kaskazini kwenye ajira na biashara tunauona na toka tupo wadogo, na muda huo hamjatoa rais. simtatuhamisha nchi mkitoa rais? ni mjinga zezeta atakayeipigia ukawa kura,