CCM hawasemi tu lakini wanapumulia mashine

CCM hawasemi tu lakini wanapumulia mashine

Baada ya October tuwekeane Marufuku mtu asituletee Ngonjera za 2010 kuwa Mlishinda ila kura ndo zimeibiwa na kuchakachuliwa. Miaka Minne iliyopita mlisema Slaa alishinda ila aliibiwa kura leo 2015 Mnasema alipata kura 2.2 M hivo hana ubavu wa kuitoa CCM

Kwahiyo mkiiba kura msiambiwe?
 
Tunajua cha kufanya lazima watoke
 
hamna kitu kama iko kwan ccm kitachukua ushindi mapema sana...upinzani wenyewe washaanza kuvulugana makamanda wanaondoka...ni waroho wa madaraka... ccm kina nafasi nzuri ...vote ccm

Mkuu usiseme hivo ndg yangu. Kunakitu kimenistua sana. Wana CCM wenzetu wengi tu, wanamfanyia kampeni Lowasa mchana mchana. Wamevaa kabisa nguo zetu lakini anakunong'oneza pembeni kwamba chakula pata toka CCM, ila kura kwa Mh. Lowasa. Nimeshagongana nawatu wa aina hii sichini ya15. Hii inaonyesha kunamkakati mzito wakukihujumu chama kupitia sisi kwa sisi. Tena unaonekana mkakati huu unamtandao mkubwa kutoka ngazi zajuu. Kukumbatia watu kama kina Nape umesababisha mpasuko mkubwa ndani ya chama. Kama hatua hazitachukuliwa haraka iwezekanavo tutaanguka kweli.
 
Back
Top Bottom