Mungu wetu wa Mbinguni tunakuomba uutimize unabii wako uluosema na Mtumishi wako Askofu Kakobe. Yote yanawezekana katika jina la Yesu
Hofu imewaingia,Lowassa amewapoteza CCM kwa mbali sana,wamevurugana na wanahujumiana,mke wa Magufuri kagoma kumuombea kura mume wake.Habari kutoka kwa baadhi ya makada wanadai CCM inakwenda kuanguka vibaya