CCM hawana ubavu wa kumfukuza Lowasa

CCM hawana ubavu wa kumfukuza Lowasa

udangeni

Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
37
Reaction score
6
Kuna tetesi kuwa ccm kitamvua uanachama Lowasa nataka niwahakikishia hawa jamaa hawajawahi kumfuta hata balozi wa nyumba kumi na halitawezekana kwa lowasa.Kama tuna kumbukumbu walishasema kuvua gamba hawakuthubutu kugusa hili jiwe la msingi na kwa
hili halitatokea labda wamsimamishe kutokugombea nafasi yoyote ndani ya chama kwa muda fulani tena nasema labda.Hakuna watu wliokosa maamuzi kama hawa escrow yenyewe imewashinda kutoa maamuzi wakamtoa yule mama kafara lakini majabali bado yapo.
 
Maamuzi makubwa ambayo hiki chama cha Escrow kinaweza kufanya ni kuwaweka watu VIPORO ambazo hatujui ni ln zitaliwa au kumwagwa.
Kwa hili na lenyewe usishangae mwisho wa kikao ukasikia amewekwa kiporo uchunguzi ukiendelea and it will be the end of the story as usual"!
 
Aliye msafi ndani ya kikao hicho awe wa kwanza kumpiga Lowasa jiwe! Nadhani EL atawekwa kiporo hadi baada ya uchaguzi mkuu!
 
Uwezo wa kumvua uanachama wanao,ila Lowasa ana kosa gani mpaka avuliwe uanachama?CCM ni taasisi kubwa haiwezi kuchukua maamuzi ya kijinga kama hayo,akithibitika ana kosa basi sharti avuliwe uanachama.
 
Maamuzi makubwa ambayo hiki chama cha
Escrow kinaweza kufanya ni kuwaweka watu
VIPORO ambazo hatujui ni ln zitaliwa au
kumwagwa.
Kwa hili na lenyewe usishangae mwisho wa kikao
ukasikia amewekwa kiporo uchunguzi ukiendelea
and it will be the end of the story as usual"!
 
du yaani hata kutangaza nia ya kugombea urais hajatangaza na waliotangaza wanaachwa
 
CCM Imepoteza mwelekeo. na wasipo mpitisha EL agombee Urais basi ndo kifo chao
 
Kuna tetesi kuwa ccm kitamvua uanachama Lowasa nataka niwahakikishia hawa jamaa hawajawahi kumfuta hata balozi wa nyumba kumi na halitawezekana kwa lowasa.Kama tuna kumbukumbu walishasema kuvua gamba hawakuthubutu kugusa hili jiwe la msingi na kwa
hili halitatokea labda wamsimamishe kutokugombea nafasi yoyote ndani ya chama kwa muda fulani tena nasema labda.Hakuna watu wliokosa maamuzi kama hawa escrow yenyewe imewashinda kutoa maamuzi wakamtoa yule mama kafara lakini majabali bado yapo.


Yaani mleta mada utakuwa na akili sana wewe,hawa magamba piga ua hawana ubavu wa kumfukuza LOWASA na wakijaribu ndo kaburi lao,wakae naye waongee nae awasaidie kuipeperusha bendera kwani hawana mtu mwingine hapo ni shida tupu
 
Back
Top Bottom