Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa kiasi mambo ya arumeru na nimeona machache ambayo ningependa ku share nanyi. Kwanza sikuamini kabisa kama Nassari angeshinda na haikuwa pendeleo langu. Lakini wananchi wa Arumeru wameongea na wao ndio wanaojua nani anawafaa. Nawapongeza kwa kupata mbunge aliyeshinda kwa tofauti kubwa ya kura.
Kwa CCM mlipokosea hapa
1. Siku ya ufunguzi wa kampeni Arumeru, mwenyekiti wenu (rais) alikuwa anaongea na wazee wa Da'slam, he stole the show vyombo vyote masikio yakawa Diamond, bad bad timing . Mistake number 1
2. Badala ya kupiga kampeni "the traditional way" kama mlivyozoea mkaamua muende "kichadema chadema", ni sawa na Barcelona anacheza na Man U halafu Barca wacheze pasi ndefu.
3.Button zenu zilipoguswa mka respond, na nyie mkaingia kwenye kampeni za kurushiana maneno yasiyofaa (advantage kwa Chadema)
4. Mmetumia muda mwingi kuongea "blah blah" badala ya kuzungumzia mafanikio ya chama chenu hapo Arumeru (Siwalaumu sana pengine mafanikio yenyewe hayapo)
5. Mkampeleka mzee Mkapa masikini ya mungu kufungua na kufunga kampeni ,ambaye si mzuri majukwaani halafu ni easy target......Ingekuwa ni busara zaidi kama mwenyekiti wenu angeenda kufungua au kufunga pengine ingeleta tofauti.
Kaeni mtafakari, mbinu zenu za mwaka 47 hazifanyi kazi leo.
2. Badala ya kupiga kampeni "the traditional way" kama mlivyozoea mkaamua muende "kichadema chadema", ni sawa na Barcelona anacheza na Man U halafu Barca wacheze pasi ndefu.
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa kiasi mambo ya arumeru na nimeona machache ambayo ningependa ku share nanyi. Kwanza sikuamini kabisa kama Nassari angeshinda na haikuwa pendeleo langu. Lakini wananchi wa Arumeru wameongea na wao ndio wanaojua nani anawafaa. Nawapongeza kwa kupata mbunge aliyeshinda kwa tofauti kubwa ya kura.
Kwa CCM mlipokosea hapa
1. Siku ya ufunguzi wa kampeni Arumeru, mwenyekiti wenu (rais) alikuwa anaongea na wazee wa Da'slam, he stole the show vyombo vyote masikio yakawa Diamond, bad bad timing . Mistake number 1
2. Badala ya kupiga kampeni "the traditional way" kama mlivyozoea mkaamua muende "kichadema chadema", ni sawa na Barcelona anacheza na Man U halafu Barca wacheze pasi ndefu.
3.Button zenu zilipoguswa mka respond, na nyie mkaingia kwenye kampeni za kurushiana maneno yasiyofaa (advantage kwa Chadema)
4. Mmetumia muda mwingi kuongea "blah blah" badala ya kuzungumzia mafanikio ya chama chenu hapo Arumeru (Siwalaumu sana pengine mafanikio yenyewe hayapo)
5. Mkampeleka mzee Mkapa masikini ya mungu kufungua na kufunga kampeni ,ambaye si mzuri majukwaani halafu ni easy target......Ingekuwa ni busara zaidi kama mwenyekiti wenu angeenda kufungua au kufunga pengine ingeleta tofauti.
Kaeni mtafakari, mbinu zenu za mwaka 47 hazifanyi kazi leo.
sikio la kufa ......wakati mnapanga mliona mpo sawa kumbe mnajimaliza stair ya igunga mnaleta arumeru!fia mbali ccm sitaki hata mazishi yako lasivyo ntakuzika kama osama alivyozikwa
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa kiasi mambo ya arumeru na nimeona machache ambayo ningependa ku share nanyi. Kwanza sikuamini kabisa kama Nassari angeshinda na haikuwa pendeleo langu. Lakini wananchi wa Arumeru wameongea na wao ndio wanaojua nani anawafaa. Nawapongeza kwa kupata mbunge aliyeshinda kwa tofauti kubwa ya kura.
Kwa CCM mlipokosea hapa
1. Siku ya ufunguzi wa kampeni Arumeru, mwenyekiti wenu (rais) alikuwa anaongea na wazee wa Da'slam, he stole the show vyombo vyote masikio yakawa Diamond, bad bad timing . Mistake number 1
2. Badala ya kupiga kampeni "the traditional way" kama mlivyozoea mkaamua muende "kichadema chadema", ni sawa na Barcelona anacheza na Man U halafu Barca wacheze pasi ndefu.
3.Button zenu zilipoguswa mka respond, na nyie mkaingia kwenye kampeni za kurushiana maneno yasiyofaa (advantage kwa Chadema)
4. Mmetumia muda mwingi kuongea "blah blah" badala ya kuzungumzia mafanikio ya chama chenu hapo Arumeru (Siwalaumu sana pengine mafanikio yenyewe hayapo)
5. Mkampeleka mzee Mkapa masikini ya mungu kufungua na kufunga kampeni ,ambaye si mzuri majukwaani halafu ni easy target......Ingekuwa ni busara zaidi kama mwenyekiti wenu angeenda kufungua au kufunga pengine ingeleta tofauti.
Kaeni mtafakari, mbinu zenu za mwaka 47 hazifanyi kazi leo.
Nashukuru kwa maoni. Nakubaliana nayo.
Pengine niongeze na haya:
Wameru wengi ni watu wa kawaida. Hata hivyo wale wa Akheri ambako Sioi ametoka, huwa na katabia ka kujivuna kuwa wamesoma au wameona mbele kuliko wengine wa kule juu milimani kama Ndoombo, Songoro, Kilinga nk nk.
Mara nyingine ukifanya jambo la kipuuzi utasikia ukifananishwa na watu wa milimani (nturu).
Nasari ametoka eneo ambalo ni la kawaida. Ni rahisi kukubalika kwa Wameru wengi, wanamwona kama mwenzao ikilinganishwa na Sioi ambaye anaonekana kama ametoka kwenye ukoo wa watawala, wenye nacho na wanaojiona bora kuliko wengine.
Hali hii ikichangiwa na ukweli kwamba CDM wana wafuasi wengi vijana kwenye miji na vijiji vingi jirani na barabara ya Arusha-Moshi, Mbuguni, pamoja na uwepo wa wanafunzi wengi kwenye vyuo vilivyoko Arumeru Mashariki.....vilichangia kwa kiasi kikubwa ushindi huu.
Game changer ni:........ L U S I N D E!!!!!
Imetia aibu sana kwa maneno live in video ya huyu mh. wetu!