CCM haiwezi kusimama mbele ya UKAWA!! People's..

CCM haiwezi kusimama mbele ya UKAWA!! People's..

maedson

Senior Member
Joined
Sep 7, 2012
Posts
151
Reaction score
86
Hebu fikiria mabaya yote ambayo anatupiwa Lowasa lakini ma milioni wanamkubali na kila kukicha wanachama wa CCM wanarudisha kadi zao na kuwa wanachama wa UKAWA!!
Kwanini asishinde shujaa wa tanzania!? Mi binafsi napenda amani hivyo tuacheni tupite kwa amani na sio majungu kila kukicha.. Maccm vipiiiii?

Sim yangu
 
Hebu fikiria mabaya yote ambayo anatupiwa Lowasa lakini ma milioni wanamkubali na kila kukicha wanachama wa CCM wanarudisha kadi zao na kuwa wanachama wa UKAWA!!
Kwanini asishinde shujaa wa tanzania!? Mi binafsi napenda amani hivyo tuacheni tupite kwa amani na sio majungu kila kukicha.. Maccm vipiiiii?

Sim yangu

Mbona hao wa UKAWA wanaorudi CCM huwataji?
 
Tena wanarudi wengi sema ccm hawana ujiko wa kangaza huyu karudi... zaidi utasikia kwa kuona mikutanoni.
 
Mamilioni yapi ya watanzania wnamkubali mamvi,mbona mnapotosha ukweli,hapa kazi tu MAgufuli ndio mpango mzima watanzania vijana,kinamama,wazee, na wote wenye mapenzi mema wanajua chaguo la Mungu ni Magufuli na wote wenye mapenzi mema tunamfuata magufuli kwa kuwa ndio muaraobaini wa matatizo ya wtanzania
 
chama cha mauaji ccm hatukitaki tena baada ya kutudanganya kwa miaka 50.
sisi malofa wapmbavu na mbmbumbu tunasema huu ni wkt wa MABADIRIKO
 
Ukweli ni kwamba SErikali iliyopo imefanya makubwa na inaendelea kuwaletea wananchi maendeleo endelevu ndio maana imeendelea kuaminiwa na watanzania kwa muda wote huo,ndugu yangu usinunuliwe kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka za hawa watu wa ukawa ambao kimsingi naona hawana dira ya kutupeleka kanani,MAgufuli ndio chaguo letu

kimsingi hakuna anayeweza kupinga kuwa MAgufuli ni mchapakazi,MUadilifu,mzalendo na ndiye muarobaini wa chanagamoto zote zinazotukabili kwa kuwa ameshaonyesha njia za namana ya kukabiliana nazo cha muhimu hapa ni kumpa nafasi MAgufuli
 
Watu wachache hawawezi kuturudisha nyuma,hapa kazi tu,magufuli ndio mpango mzima,wale wachache ambao hatujajua ukweli ulipo njoooni tuwaonyeshe ili mtoke huko shimoni mlipo,mnadanganywa na ukawa, watu hao hawana dhamira ya kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli
 
Ni kweli Magufuri ni mchapakazi ila kaja wakati usiofaa,chama kisichofaa,its like Uhuru kenyata vs Kibaki Uhuru aligombea toka KANU wakenya wakasema kwa vile tunakupenda Uhuru ila hatuipendi KANU tutampa Kibaki,vivyo hivyo nasi Hatuipendi CCM Tutaipa UKAWA.
 
ni chama cha wahaini. Waliutangazia umma wakiwa wametumwa na kikwete kuwa rais hawezi kutoka kaskazini
Tunataka kuwaonesha kuwa ccm wala kikwete hawana hati miliki ya nchi hii na hawawezi kuwaambia atakakotoka rais wa hii nchi.
NI KUWAKATA TU OCTOBA,25
 
Mamilioni yapi ya watanzania wnamkubali mamvi,mbona mnapotosha ukweli,hapa kazi tu MAgufuli ndio mpango mzima watanzania vijana,kinamama,wazee, na wote wenye mapenzi mema wanajua chaguo la Mungu ni Magufuli na wote wenye mapenzi mema tunamfuata magufuli kwa kuwa ndio muaraobaini wa matatizo ya wtanzania

Umesema Vijanaaa??😕
 
Ni kweli Magufuri ni mchapakazi ila kaja wakati usiofaa,chama kisichofaa,its like Uhuru kenyata vs Kibaki Uhuru aligombea toka KANU wakenya wakasema kwa vile tunakupenda Uhuru ila hatuipendi KANU tutampa Kibaki,vivyo hivyo nasi Hatuipendi CCM Tutaipa UKAWA.

wali maharage na makande ni vyakula viwili tofauti,usivifananishe.
 
Ukweli ni kwamba SErikali iliyopo imefanya makubwa na inaendelea kuwaletea wananchi maendeleo endelevu ndio maana imeendelea kuaminiwa na watanzania kwa muda wote huo,ndugu yangu usinunuliwe kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka za hawa watu wa ukawa ambao kimsingi naona hawana dira ya kutupeleka kanani,MAgufuli ndio chaguo letu

kimsingi hakuna anayeweza kupinga kuwa MAgufuli ni mchapakazi,MUadilifu,mzalendo na ndiye muarobaini wa chanagamoto zote zinazotukabili kwa kuwa ameshaonyesha njia za namana ya kukabiliana nazo cha muhimu hapa ni kumpa nafasi MAgufuli

mtanzania mwenye imani na ccm huyo hana akili kabisa na ana njaaa wengi wanaoshabikia ccm wanasumbuliwa na njaa kwa taarifa yenu ccm miguu chaliiii watanzania wanataka kukombolewa kupitia ukawa na kitakachowachinja zaidi ccm ni huo mfumo wa kubandika na kutangaza rais aliyeshinda kwa kila kituo cha kupigia kura miaka yote mmeiba mwisho wenu mwaka huu mungu ibariki tanzania mungu ibariki ukawa
 
Back
Top Bottom