Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,451
- 4,655
Wanabodi.
Huwa napendelea sana kukaa ilala, Kinondoni na Kawe. Sijui ni concidence ama vipi lakini asilimia 95% ya watu ninaokutana nao ni UKAWA.
kazini kwetu asilimia 100% ni UKAWA, Kijijini Kwetu Iringa asilimia zaidi ya 80% ni UKAWA.
huwa najiuliza wale watu kwenye Mikutano ya CCM wanatoka wapi? sio Mamluki kweli?
CCM ninaokutana nao wana kiburi cha kushinda uchaguzi asilimia 100%. Hivi hawaoni muamko wa watu kwasasa?
Hata kwenye huu uzi baada ya siku mbili njooni muangalie wachangiaji wanasupport kambi gani? Licha ya kuwepo watu maalum wanaolipwa kuisupport CCM humu.
CCM fungukeni, kuna gharika kubwa linakuja
Huwa napendelea sana kukaa ilala, Kinondoni na Kawe. Sijui ni concidence ama vipi lakini asilimia 95% ya watu ninaokutana nao ni UKAWA.
kazini kwetu asilimia 100% ni UKAWA, Kijijini Kwetu Iringa asilimia zaidi ya 80% ni UKAWA.
huwa najiuliza wale watu kwenye Mikutano ya CCM wanatoka wapi? sio Mamluki kweli?
CCM ninaokutana nao wana kiburi cha kushinda uchaguzi asilimia 100%. Hivi hawaoni muamko wa watu kwasasa?
Hata kwenye huu uzi baada ya siku mbili njooni muangalie wachangiaji wanasupport kambi gani? Licha ya kuwepo watu maalum wanaolipwa kuisupport CCM humu.
CCM fungukeni, kuna gharika kubwa linakuja