CCM chama kikongwe kinachoigwa barani Africa

Kweli ni chama cha kuigwa kwa vigezo hivi vifuatavo kuwadhulumu wa zanzibar kuwanyanyasa mashehe na kuwaweka ndani bila ya kosa na kumpa tunzo jecha
Unalialia nini wewe? Uchaguzi Zanzibar ulikuwa huru na wa haki! Ukisusa hakuna kubembelezwa bwana!
 
Post kama hizi wala siyo zakusomwa maana hazijengi kama Mimi hata sijaisoma na ninapita kama ifwatavyo maana hoja zake NI dhaifu tu
 
Mimi sioni dalili ya CCM kutoka mamlakani kwa kuwa wapinzani wanafanya siasa kwa matukio sio falsafa ili kuvuta watu. Kitu ambacho ni kosa kubwa kwa chama chochote cha siasa ndo mana wamepungua sana kihoja hawana falsafa mama mfano CHADEMA wanasema ni mrengo wa kati lakini hawakutoa ufafanuzi mrengo wa kati maana yake nini ili watanzania wawaelewe. Peoples power ni slogani sio falsafa

Kwa hiyo mimi naona CHADEMA inapwaya sana mtu makini anaweza kupata mashaka na msimamo wao ambao haueleweki mana wanaweza kuingia Ikulu wakafanya mengine tusiyoelewa.

ACT ni wajamaa la kini kuna ufalme ndani yake sisi hatutaki wafalme kwa kuwa kuna cheo inaitwa kiongozi wa chama jambo ambali linaonyesha umiliki wa mtu juu ya chama kwamba mtu moja ni altimate say na sio majority hiyo ni shida

Ukija CUF hawana mpango na bara wameridhika na visiwani kwa vyovyote vile hawawezi kushika dola.

Kazi tunayo vyama hivi tujipange CCM bado ni imara kifalsafa na itikadi ikipata mtu makini kuliko wapinzani.

Karibuni kwa mjadala.
 
mimi sioni dalili ya ccm kutoka mamlakani kwa kuwa wapinzani wanafanya siasa kwa matukio sio falsafa ili kuvuta watu..........
Kazi tunayo vyama hivi tujipange ccm bado ni imara kifalsafa na itikadi ikipata mtu makini kuliko wapunzani

karibuni kwa mjadala
Ahsante mleta mada... tena hata nami nahisi kuvutika na CCM hivi sasa lakini kuna mambo bado sijayafahamu vizuri kwahiyo, with due respect, naomba unielimishe manake ningependa kufuatilia chama ninachofahamu misingi yake japo kinagaubaga!

Hivi kwa sasa itikadi na falsafa ya Chama Cha Mapinduzi ni ipi hasa?
 
Ukweli mchungu lakini hamna namna lazima tukubali ili majawabu sahh ipstikane
 
mimi sioni dalili ya ccm kutoka mamlakani kwa kuwa wapinzani wanafanya siasa kwa matukio sio falsafa ili kuvuta watu. Kitu ambacho ni kosa kubwa kwa chama chochote cha siasa ndo mana wamepungua sana kihoja hawana falsafa mama mfano cdm wanasema ni mrengo wa kati lakini hawakutoa ufafanuzi mrengo wa kati maana yake nini ili watanzania wawaelewe. Peoples power ni slogani sio falsafa

Kwa hiyo mimi naona cdm inapwaya sana mtu makini anaweza kupata mashaka na msimamo wao ambao haueleweki mana wanaweza kuingia ikulu wakafanya mengine tusiyoelewa.

ACT ni wajamaa la kini kuna ufalme ndani yake sisi hatutaki wafalme kwa kuwa kuna cheo inaitwa kuongzi wa chama jambo ambali linaonyesha umiliki wa mtu juu ya chama kwamba mtu moja ni altimate say na sio majority hiyo ni shida

ukija cuf hawana mpango na bara wameridhika na visiwani kwa vyovyote vile hawawezi kushika dola

Kazi tunayo vyama hivi tujipange ccm bado ni imara kifalsafa na itikadi ikipata mtu makini kuliko wapunzani

karibuni kwa mjadala
Nikupe hongera kwa kutambua hilo. Mwisho wa upinzani ilikuwa 2015
 
Ahsante mleta mada... tena hata nami nahisi kuvutika na CCM hivi sasa lakini kuna mambo bado sijayafahamu vizuri kwahiyo, with due respect, naomba unielimishe manake ningependa kufuatilia chama ninachofahamu misingi yake japo kinagaubaga!

Hivi kwa sasa itikadi na falsafa ya Chama Cha Mapinduzi ni ipi hasa?
kwa sasa ccm haieleweki vizr kwa kuwa vitabu vinasema ujamaa na kujitegemea matendo yanasema ubepari ndo mana nimesema kama ikipata mtu sahihi inasonga mbele ikirekebisha vitu vichache kama vile kuchanganya mazuri ya ubepar psmoja na mazuri ya ujamaa
 
Tofauti kabisa, CCM wenyewe hawana falsafa na msimano unaoeleweka, japokuwa siwatetei wapinzani pia, ila sioni ubora wa CCM
CCM hawa hawa waliokuwa wanamsifia Kikwete na Lowassa mwaka jana leo wanawaponda tena watu hao, hii ni falsafa gani??

Na communist party of China huwezi wafananisha na CCM, Communist party wanaheshimu falsafa zao na mtu anaadhibiwa kutokana na makosa yake haiangaliwi status ya mtu

wapo wafanyabiashara wakubwa China wamenyongwa kutokana na ufisadi
CCM wameshindwa kumchukulia hatua Lowassa wanaetuimbia kuwa ni fisadi, na akiamua kurudi atakaribishwa tena tu

CCM wakibaki madarakani ni kutokana na udhaifu wa wapinzani, udhaifu na upole wa watanzania na matumizi ya mabavu ya CCM na sio sera nzuri

CCM kwa sasa wana falsafa yoyote tofauti na kucheza tune ya Magufuli??? sidhani
 
Chama cha mapinduzi kinahitaji kiongizi imara mfano wa mzee wetu muheshiwa magufuli mungu amsaidie atimize malengo ya wanachi kwa sasa kuona mbele ni asilimia 10%tuangalie mwaka ujao chamsingi vijana tujipange kuchangamkia fursa
 
Kiongozi wetu anaonekana anatupenda na anajua vilio vyetu anae bisha haya atazame mahojiano ya juzi na wa hariri
 
Tofauti kabisa, CCM wenyewe hawana falsafa na msimano unaoeleweka, japokuwa siwatetei wapinzani pia, ila sioni ubora wa CCM
CCM hawa hawa waliokuwa wanamsifia Kikwete na Lowassa mwaka jana leo wanawaponda tena watu hao, hii ni falsafa gani??

Na communist party of China huwezi wafananisha na CCM, Communist party wanaheshimu falsafa zao na mtu anaadhibiwa kutokana na makosa yake haiangaliwi status ya mtu

wapo wafanyabiashara wakubwa China wamenyongwa kutokana na ufisadi
CCM wameshindwa kumchukulia hatua Lowassa wanaetuimbia kuwa ni fisadi, na akiamua kurudi atakaribishwa tena tu

CCM wakibaki madarakani ni kutokana na udhaifu wa wapinzani, udhaifu na upole wa watanzania na matumizi ya mabavu ya CCM na sio sera nzuri

CCM kwa sasa wana falsafa yoyote tofauti na kucheza tune ya Magufuli??? sidhani
Na ndio maana nikamuomba mleta mada anipe darsa kuhusu itikadi na falsafa ya CCM!!!
 
Mimi sioni dalili ya CCM kutoka mamlakani kwa kuwa wapinzani wanafanya siasa kwa matukio sio falsafa ili kuvuta watu. Kitu ambacho ni kosa kubwa kwa chama chochote cha siasa ndo mana wamepungua sana kihoja hawana falsafa mama mfano CHADEMA wanasema ni mrengo wa kati lakini hawakutoa ufafanuzi mrengo wa kati maana yake nini ili watanzania wawaelewe. Peoples power ni slogani sio falsafa

Kwa hiyo mimi naona CHADEMA inapwaya sana mtu makini anaweza kupata mashaka na msimamo wao ambao haueleweki mana wanaweza kuingia Ikulu wakafanya mengine tusiyoelewa.

ACT ni wajamaa la kini kuna ufalme ndani yake sisi hatutaki wafalme kwa kuwa kuna cheo inaitwa kiongozi wa chama jambo ambali linaonyesha umiliki wa mtu juu ya chama kwamba mtu moja ni altimate say na sio majority hiyo ni shida

Ukija CUF hawana mpango na bara wameridhika na visiwani kwa vyovyote vile hawawezi kushika dola.

Kazi tunayo vyama hivi tujipange CCM bado ni imara kifalsafa na itikadi ikipata mtu makini kuliko wapinzani.

Karibuni kwa mjadala.
Haraka haraka haina Baraka mkuu..wahenga walisema. .
Najalibu kumchekii Mohamed bohari rais Nigeria .ili mchukua miaka.mingapii kuking'o chama tawala. leo cHADEMA wanataka.Leo.wapge campaign kesho waingie ....ikulu.. nanii kasema hawana strategies even
vision ...2.let we be serious with our country
3.wamtafute bohari awape plan na strategies za kuongoza nchi.
 
Back
Top Bottom