Kumbe kumuita slaa kwa title yake ya UPADRE ni udini? hebu jifunze kujenga hoja we mchadema!
Unashangaa nini Hii ni sera aliianzisha Mh Jakaya KIkwete,Ridhiwani,Miraji ,Halfani na Mkewe Salma Kikwete katika kampeni zake za mwaka 2010.
Haitoshi alipokuwa anatangazwa kuwa mshindi bado alisisitiza kwamba nchi immeingia kwenye udini
Haitoshi alipokuwa akizinduwa Bunge alisisitiza kwa mkazo wa ajabu akisema kwamba nchi ina udini na kuna vyama vyenye udini ambavyo wagombea wake walisimamiwa na Kanisa ambao hawakujali hata kuingia IKULU kwa kupanda Maiti za ajabu
Mpaka na kufa nitamchukia kikwete,viongozi waliopo usalama wa Taifa sasa ambao ni waroho wa madaraka wanaoigawa nchi vipande vipande kwa manufaa yao na vizazi vyao
Natusipo simama watanzania kuwakemea leo kiama chake kitatumaliza wote
Unajifanya kipofu?
Hujui email zilizosambazwa kwa wagalatia ili wamsupport slaa?
Hukumbuki kauli ya Kakobe?
Mkuu hii lawama haiepukiki kwa wote, CDM kwa kudhani wakipata support ya kanisa wataingia ikulu na CCM kwa kufichua mpango huo uliopelekea wapenda haki kukichukia CDM.
Mfano angalia jimbo la zitto, JK ameshinda ushindi wa kishindo wakati ubunge kapewa ZZK. Tusipokiri hili tatizo na kukubali kujisahihisha haitasaidia abadan
Unajifanya kipofu?
Hujui email zilizosambazwa kwa wagalatia ili wamsupport slaa?
Hukumbuki kauli ya Kakobe?
Mkuu hii lawama haiepukiki kwa wote, CDM kwa kudhani wakipata support ya kanisa wataingia ikulu na CCM kwa kufichua mpango huo uliopelekea wapenda haki kukichukia CDM.
Mfano angalia jimbo la zitto, JK ameshinda ushindi wa kishindo wakati ubunge kapewa ZZK. Tusipokiri hili tatizo na kukubali kujisahihisha haitasaidia abadan
Radio Iman ni ya rafiki yake kikwete Abood tajiri wa mabasi morogoro na yeye na wanaye wana share kabla hajaondoka madarakani ana mengi ya kutuambia atatujibu Kitwana Kondo alimuintroduce kwa Mwinyi akapewa ubunge wa bure kama kijana wa kiislamu mpaka leo kichwa chake kimejaa ubaguzi wa kidini huyu anamega nchi vipande vipande kwa udini hata baki salama anadhani atabaki Raisi milele
Mwasisi wa udini hapa nchini Tanzania anayeulea na kuukomaza ni Raisi wa awamu hii, Raisi KIkwete ,anatumia Bakwata kila kila nyanja ya kujitetea anaposhindwa kutekeleza ahadi alizoahidi kwa wananchi ni Raisi mbaya sana Kuliko wote walio wahi kutawala anagawa nchi yetu huku akijielewa kabisa kwamba anafanya hivyo kwa manufaa yakeUnajifanya kipofu?
Hujui email zilizosambazwa kwa wagalatia ili wamsupport slaa?
Hukumbuki kauli ya Kakobe?
Mkuu hii lawama haiepukiki kwa wote, CDM kwa kudhani wakipata support ya kanisa wataingia ikulu na CCM kwa kufichua mpango huo uliopelekea wapenda haki kukichukia CDM.
Mfano angalia jimbo la zitto, JK ameshinda ushindi wa kishindo wakati ubunge kapewa ZZK. Tusipokiri hili tatizo na kukubali kujisahihisha haitasaidia abadan
Radio abood na Radio Iman mbona ni redio mbili tofauti? kama hujui mkuu wangu kaa kimya, abood hana uhusiano hata kidogo na radio imaan yeye ana TV yake, radio yake na business zake. Mkuu vipi? Mbona umekurupuka kiasi hiki! loh
Unajifanya kipofu?
Hujui email zilizosambazwa kwa wagalatia ili wamsupport slaa?
Hukumbuki kauli ya Kakobe?
Mkuu hii lawama haiepukiki kwa wote, CDM kwa kudhani wakipata support ya kanisa wataingia ikulu na CCM kwa kufichua mpango huo uliopelekea wapenda haki kukichukia CDM.
Mfano angalia jimbo la zitto, JK ameshinda ushindi wa kishindo wakati ubunge kapewa ZZK. Tusipokiri hili tatizo na kukubali kujisahihisha haitasaidia abadan
aisee ccm ni zaidi ya mkoloni, watu wake wanafiki. Wezi yaani we acha tu nadhani wanaundugu na shetani
Mkuu nisamehe kama nitakuuzi, MKE padri slaa kaoa lini? huenda nipo mbali na matukio!
Pili, title haiondoki kwa kuacha ile shughuli, nafikili umesahau tu naomba nikukumbushe! msigwa na natse wanaendelea kuitwa wachungaji hata baada ya kuwa wanasiasa.
Ndio maana nikasema umeshindwa kujenga hoja, na jibu lako limedhihirisha!
Umeelewa?
Unajifanya kipofu?
Hujui email zilizosambazwa kwa wagalatia ili wamsupport slaa?
Hukumbuki kauli ya Kakobe?
Mkuu hii lawama haiepukiki kwa wote, CDM kwa kudhani wakipata support ya kanisa wataingia ikulu na CCM kwa kufichua mpango huo uliopelekea wapenda haki kukichukia CDM.
Mfano angalia jimbo la zitto, JK ameshinda ushindi wa kishindo wakati ubunge kapewa ZZK. Tusipokiri hili tatizo na kukubali kujisahihisha haitasaidia abadan
come 2015! eeh Mwenyezi MUNGU nilinde/nijalie uzima nishuudie ukombozi wa inchi yangu!