MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Nimejaribu kufuatilia mienendo ya wanachama wa CCM katika mitandao mbali mbali ikiwemo humu JF, kinachonishangaza ni kuona wafuasi wa CCM kwa sehemu kubwa wanajadili hoja nyingi zinazowahusu CHADEMA mfano, UKUTA, LOWASSA nk. Hapa ni sawa na Chadema kuwapigia ngoma CCM wanabakia kucheza tu.
Hivi hamuwezi kuanzisha hoja zenu wenyewe zikajadiliwa humu? Mmewataja Chadema Mara ngapi toka mwezi huu wa 8 uanze mpaka unaisha? Mmemtaja Lowassa Mara ngapi? Ninyi mmetajwa Mara ngapi tang mwezi huu uanze mpaka unaishia? Nani maarufu kwa sasa kati yenu ninyi na Chadema kwa sasa? Kwa hali hii ndio kila kukicha mnatabiri kifo cha Chadema?Kinachokufa kwanza hupotea kwenye vinywa na akili za watu lakini kwenu ninyi akili ni na vichwa vyenu ni CHADEMA/UKUTA, Eti ndio chadema kife!!
Wekeni hoja zenu ninyi humu na zinazohusu serikali mnayoiongoza watu wajadili sio kila siku chadema, Lowassa,UKUTA nk,Au msifie sifie tu kama kawaida yenu.Msipoangalia chama chenu ndicho kinachoenda kufa maana hakitajwi tajwi kama Chadema.Badilikeni bhana msidandie vvya watu.
Mtachezeshwa ngoma mpaka lini? Pigeni na yenu mcheze wenyewe kama mmeshindwa kuchezesha wengine wafanyavyo ChadChadema
Hivi hamuwezi kuanzisha hoja zenu wenyewe zikajadiliwa humu? Mmewataja Chadema Mara ngapi toka mwezi huu wa 8 uanze mpaka unaisha? Mmemtaja Lowassa Mara ngapi? Ninyi mmetajwa Mara ngapi tang mwezi huu uanze mpaka unaishia? Nani maarufu kwa sasa kati yenu ninyi na Chadema kwa sasa? Kwa hali hii ndio kila kukicha mnatabiri kifo cha Chadema?Kinachokufa kwanza hupotea kwenye vinywa na akili za watu lakini kwenu ninyi akili ni na vichwa vyenu ni CHADEMA/UKUTA, Eti ndio chadema kife!!
Wekeni hoja zenu ninyi humu na zinazohusu serikali mnayoiongoza watu wajadili sio kila siku chadema, Lowassa,UKUTA nk,Au msifie sifie tu kama kawaida yenu.Msipoangalia chama chenu ndicho kinachoenda kufa maana hakitajwi tajwi kama Chadema.Badilikeni bhana msidandie vvya watu.
Mtachezeshwa ngoma mpaka lini? Pigeni na yenu mcheze wenyewe kama mmeshindwa kuchezesha wengine wafanyavyo ChadChadema